Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

Tuliwajuza wanajamiii F. kuwa awa West pamoja na Israel yao wakiona seem awawezi kushinda au kupiga wanatumia siraaa yao nyengine ambayo inanguvu sana media sasa Iran anapigwa kupitia media.
 
Tunasubiri mkeka wa Mayahudi🤣
Tuone awamu hii wamemteua nani kuwahi karamu za mabikra 72
Inasemekana alietegemewa kuchukua nafasi ya marehemu naye ni marehemu. Haya Iran arushe tena makombora 200.
 
Unafuri Sasa kuona na paliwa na pilau langu wakati sihusiki na huu mgogoro😂😂😂, muda mwingine mchaguage maneno ya kutumia
Tunawapongeza maulamaa kwa mwisho mwema
Inasemekana alietegemewa kuchukua nafasi ya marehemu naye ni marehemu. Haya Iran arushe tena makombora 200.
Ninajaribu kuwaza kwa sauti..huyu ndiye Muyahudi aliyebezwa kwa shambulio la Novemba?

Ndio huyu aliyebezwa huko Gaza?
Kobaz wote wa jf sasa jf ni ya moto😄

Yaani muyahudi anavuna roho za magaidi kama vile mapera
 
Huyu atauawawa siku ambayo dunia haitaamin kwamba hio siku ndio siku israel walipanga auawawe.
 
Tunawapongeza maulamaa kwa mwisho mwema

Ninajaribu kuwaza kwa sauti..huyu ndiye Muyahudi aliyebezwa kwa shambulio la Novemba?

Ndio huyu aliyebezwa huko Gaza?
Kobaz wote wa jf sasa jf ni ya moto😄

Yaani muyahudi anavuna roho za magaidi kama vile mapera
Mwingine kiongozi wa Hamas alijificha huko Northern Lebanon nae tayari!
 
Back
Top Bottom