Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Hapa Kisiju watu hawana habari. Wapo bize na swala 5 mwanzo-mwengaKwan hizi kelele za Israel apigwe zimeanza leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Kisiju watu hawana habari. Wapo bize na swala 5 mwanzo-mwengaKwan hizi kelele za Israel apigwe zimeanza leo?
Ushapewa takwimu za kitaifa lakin ni mkoa gan unaongoza kwa ushoga ufuraji na ubakaji au tukuwekee hapaKweli kabisa, mtumwa hawachi asili yake. Cheka kishoga mjivuni, ukifurahia mabwana zako wanavyofanya ufisadi, nakusikitikia hujielewi kuwa wewe ndiye kichekesho.
Kwani Faiza fox ni bikira? Walishaga jilia siku nyingi wasambaa wa Lushoto
Afadhali kupata hao mabikira 72,kuliko hao wanaokwenda kupakatwa na Ibrahim,kama Lazaro alivyokwenda kupakatwa.Kuna kidume kinaitwa Ibrahim,anakungoja,ukifika tu,anakupakata,kazi ipo,sio mchezo.
Ukristo unahusikaje hapo? Kwani Israel au Marekani ni mataifa ya Kikristo?Mimi ni muumini wa dini ya Kikristo. Ila kamwe siyaungi mkono mataifa ya uovu duniani yakiwemo ya Marekani, Israel, na vibaraka wao.
Safari hii watapita naye, maana hiyo siyo Israel, bali ni USA kupitia Israel na wanatakeleza mipango kiulani bila kujulikana.Wadau hamjamboni nyote?
Kumekuchaa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo
Soma taarifa kamili hapo chini:
Adonai walinde Watoto wako
LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF WEDNESDAY, JULY 31, 2024
Khamenei orders direct strike on Israel in response to Haniyeh killing
Iranian Supreme Leader Ali Khamenei has ordered a direct strike on Israel in response for the killing of Hamas chief Ismail Haniyeh, The New York Times reports, citing three unnamed Iranian officials briefed on the matter, including two Revolutionary Guard members.
The report says the directive was given this morning at an emergency meeting of the Supreme National Security Council.
Unajuwa Israel ni ma zionist kwa maana wametoka kila sehemu na wana ushawishi mkubwa na vita sio wao tu nyuma yao kwa asilimia kubwa ni USA hapigani peke yake kwa maana kupigana na Israel ni unapigana na USA na washirika wa Magharib. Mimi muislamu ila nikiri shida kubwa ni Iran, hawa wamepandikiza chuki kila sehemu nchi za watu kwa kutumia ushawishi wao vikundi vya kishia. Ni wakati ku support Israel na US kuwaondoa hawa Iran dunia itakuwa na amani hasa mashariki ya kati.Israel huwa hafaagi
Hapa sasa umeongea kama msomi ndugu muislam, ki ukweli Iran inawapandikizia chuki sana waislamu nakuona kwamba wakristo ni adui yenu na hivyo palipo na wakristo mnatamani kuwafuta wote. Hilo ni kosa kubwa kwa sababu adui yetu mkubwa wanadamu ni ibilis shetani. Jamii ya kikristo haitakubali uvamizi wowote ule wa Iran na washirika wake, hivyo kwa kuendelea kutia kiburi watapigwa tu.Unajuwa Israel ni ma zionist kwa maana wametoka kila sehemu na wana ushawishi mkubwa na vita sio wao tu nyuma yao kwa asilimia kubwa ni USA hapigani peke yake kwa maana kupigana na Israel ni unapigana na USA na washirika wa Magharib. Mimi muislamu ila nikiri shida kubwa ni Iran, hawa wamepandikiza chuki kila sehemu nchi za watu kwa kutumia ushawishi wao vikundi vya kishia. Ni wakati ku support Israel na US kuwaondoa hawa Iran dunia itakuwa na amani hasa mashariki ya kati.
Hii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.Wadau hamjamboni nyote?
Kumekuchaa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo
Soma taarifa kamili hapo chini:
Adonai walinde Watoto wako
LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF WEDNESDAY, JULY 31, 2024
Khamenei orders direct strike on Israel in response to Haniyeh killing
Iranian Supreme Leader Ali Khamenei has ordered a direct strike on Israel in response for the killing of Hamas chief Ismail Haniyeh, The New York Times reports, citing three unnamed Iranian officials briefed on the matter, including two Revolutionary Guard members.
The report says the directive was given this morning at an emergency meeting of the Supreme National Security Council.
Kwani kuna kosa nikijitambulisha kama Mkristo!! Na kuna sehemu katika maelezo yangu, nimeyahusisha hayo mataifa mawili na Ukristo?Ukristo unahusikaje hapo? Kwani Israel au Marekani ni mataifa ya Kikristo?
Hata hapa kiwalani ni mwendo wa sala tano na kiarabu broken cha kukariri.Hapa Kisiju watu hawana habari. Wapo bize na swala 5 mwanzo-mwenga
Yani unamuamini Erdogan ndimi mbili?Hii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.
Hakuna WWWIII , kuna haya mawili ambao ni utabiri moja wapo kupotea kati ya Iran au Israel mazima ....Dunia haiwezi kupigana vita nyingine na suala hilo halipo ni fikirishi .Hii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.
Kwani hata hizo WW I na II ilikiwaje,tensions sasa hivi ni kubwa sana.Hata ukisikiliza habari kwenye vyo hivi kubwa wanaki9na kitu kama hiki.Hakuna WWWIII , kuna haya mawili ambao ni utabiri moja wapo kupotea kati ya Iran au Israel mazima ....Dunia haiwezi kupigana vita nyingine na suala hilo halipo ni fikirishi .
Kama wakipigana vita kubwa basi kuna utawala kati wa IRAN au ISRAEL utapinduliwa ....Wananchi wa kule wamchoka vita .