Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja

Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja

Na yeye ajiandae tu bikra 72 zinamsubiri.
FaizaFoxy Mumeo anakuja soon huko.
Andaa na wenzio 71.
Afadhali kupata hao mabikira 72,kuliko hao wanaokwenda kupakatwa na Ibrahim,kama Lazaro alivyokwenda kupakatwa.Kuna kidume kinaitwa Ibrahim,anakungoja,ukifika tu,anakupakata,kazi ipo,sio mchezo.
 
Uyo Ayatola asikurupuke, atulie ajiulize mashambulizi yanawezaje kutokea katika mazingira kamayale.

Akiwazavizuri anaweza kugundua hatayeye hayuko salama.
Ajiulize wanao tekeleza mashambulizi haya niwatu hatari kiasihani na nini kinawezesha.

Aache papara, Siajabu huenda akagundua kunamuirani mwenye nafasikubwa na anaeaminika lakini ndio mchora ramani ya mashambulizi kama haya.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo

Soma taarifa kamili hapo chini:

Adonai walinde Watoto wako

LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF WEDNESDAY, JULY 31, 2024

Khamenei orders direct strike on Israel in response to Haniyeh killing

Iranian Supreme Leader Ali Khamenei has ordered a direct strike on Israel in response for the killing of Hamas chief Ismail Haniyeh, The New York Times reports, citing three unnamed Iranian officials briefed on the matter, including two Revolutionary Guard members.

The report says the directive was given this morning at an emergency meeting of the Supreme National Security Council.
Safari hii watapita naye, maana hiyo siyo Israel, bali ni USA kupitia Israel na wanatakeleza mipango kiulani bila kujulikana.
 
Watu bado hawajachoka kuona damu inatiririka?
Binadamu yupo kwenye self destruction mode sasa.

Nawachukia HAMAS na BENJAMIN NETANYAU hawa ndiyo wakala wa mauwaaji.
 
Israel huwa hafaagi
Unajuwa Israel ni ma zionist kwa maana wametoka kila sehemu na wana ushawishi mkubwa na vita sio wao tu nyuma yao kwa asilimia kubwa ni USA hapigani peke yake kwa maana kupigana na Israel ni unapigana na USA na washirika wa Magharib. Mimi muislamu ila nikiri shida kubwa ni Iran, hawa wamepandikiza chuki kila sehemu nchi za watu kwa kutumia ushawishi wao vikundi vya kishia. Ni wakati ku support Israel na US kuwaondoa hawa Iran dunia itakuwa na amani hasa mashariki ya kati.
 
Watu hawajifunzi.
Kama waliweza kumuondoa Haniyeh bila madhara kwa raia wengine, Ustaadh Ali Ni Nani ambaye hataonekana? Hatoki nje huyu, hakutani na watu, Hali chakula huyu, na maji je hanywi?
 
Unajuwa Israel ni ma zionist kwa maana wametoka kila sehemu na wana ushawishi mkubwa na vita sio wao tu nyuma yao kwa asilimia kubwa ni USA hapigani peke yake kwa maana kupigana na Israel ni unapigana na USA na washirika wa Magharib. Mimi muislamu ila nikiri shida kubwa ni Iran, hawa wamepandikiza chuki kila sehemu nchi za watu kwa kutumia ushawishi wao vikundi vya kishia. Ni wakati ku support Israel na US kuwaondoa hawa Iran dunia itakuwa na amani hasa mashariki ya kati.
Hapa sasa umeongea kama msomi ndugu muislam, ki ukweli Iran inawapandikizia chuki sana waislamu nakuona kwamba wakristo ni adui yenu na hivyo palipo na wakristo mnatamani kuwafuta wote. Hilo ni kosa kubwa kwa sababu adui yetu mkubwa wanadamu ni ibilis shetani. Jamii ya kikristo haitakubali uvamizi wowote ule wa Iran na washirika wake, hivyo kwa kuendelea kutia kiburi watapigwa tu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo

Soma taarifa kamili hapo chini:

Adonai walinde Watoto wako

LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF WEDNESDAY, JULY 31, 2024

Khamenei orders direct strike on Israel in response to Haniyeh killing

Iranian Supreme Leader Ali Khamenei has ordered a direct strike on Israel in response for the killing of Hamas chief Ismail Haniyeh, The New York Times reports, citing three unnamed Iranian officials briefed on the matter, including two Revolutionary Guard members.

The report says the directive was given this morning at an emergency meeting of the Supreme National Security Council.
Hii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.
 
Ukristo unahusikaje hapo? Kwani Israel au Marekani ni mataifa ya Kikristo?
Kwani kuna kosa nikijitambulisha kama Mkristo!! Na kuna sehemu katika maelezo yangu, nimeyahusisha hayo mataifa mawili na Ukristo?
 
Hii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.
Yani unamuamini Erdogan ndimi mbili?
 
Hii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.
Hakuna WWWIII , kuna haya mawili ambao ni utabiri moja wapo kupotea kati ya Iran au Israel mazima ....Dunia haiwezi kupigana vita nyingine na suala hilo halipo ni fikirishi .

Kama wakipigana vita kubwa basi kuna utawala kati wa IRAN au ISRAEL utapinduliwa ....Wananchi wa kule wamchoka vita .
 
Hakuna WWWIII , kuna haya mawili ambao ni utabiri moja wapo kupotea kati ya Iran au Israel mazima ....Dunia haiwezi kupigana vita nyingine na suala hilo halipo ni fikirishi .

Kama wakipigana vita kubwa basi kuna utawala kati wa IRAN au ISRAEL utapinduliwa ....Wananchi wa kule wamchoka vita .
Kwani hata hizo WW I na II ilikiwaje,tensions sasa hivi ni kubwa sana.Hata ukisikiliza habari kwenye vyo hivi kubwa wanaki9na kitu kama hiki.
 
Back
Top Bottom