Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja

Ayatollah Khamenei atoa agizo zito kuwa Israel ipigwe moja Kwa moja

Hapa sasa umeongea kama msomi ndugu muislam, ki ukweli Iran inawapandikizia chuki sana waislamu nakuona kwamba wakristo ni adui yenu na hivyo palipo na wakristo mnatamani kuwafuta wote. Hilo ni kosa kubwa kwa sababu adui yetu mkubwa wanadamu ni ibilis shetani. Jamii ya kikristo haitakubali uvamizi wowote ule wa Iran na washirika wake, hivyo kwa kuendelea kutia kiburi watapigwa tu.
Ach upumbavu, vatican ndio makao mkuu ya wakatoliki, ulion wpi iran walikuwa na matatizo na vatican. Na nani kakudanganya Israeli ni wakiristo?
 
Ach upumbavu, vatican ndio makao mkuu ya wakatoliki, ulion wpi iran walikuwa na matatizo na vatican. Na nani kakudanganya Israeli ni wakiristo?
Hujui kitu wewe kaa kimya.
Israel dini yao kubwa ni Judaism ambao wanatumia biblia agano la kale kama kitabu chao kitakatifu. Wakristo wanatumia biblia hiyo hiyo kama reference yao wakiongezea na agano jipya. Mpaka hapo nadhani unapata picha ya uhusiano uliopo baina ya waisraeli na wakristo.
 
Mwanzo wa mwisho uzayuni ilikuwa ni tarehe 7/10/2023.

Sasa hivi wanatapatapa tu. Watanyofolewa mdogo mdogo kutoka kila pembe mpaka waikimbie ardhi yote ya Palestina, million 2 waliokwisha kimbia ni mwanzo tu.
Walidhani ni mchezo.Ukweli sasa umedhihiri.
Hata awe na silaha gani Israel amelikoroga na sasa atalinywa.Hakuna anayemuogopa na hana ubavu wa kupambana na maadui lukuki wanaomzunguka.
 
Unajuwa Israel ni ma zionist kwa maana wametoka kila sehemu na wana ushawishi mkubwa na vita sio wao tu nyuma yao kwa asilimia kubwa ni USA hapigani peke yake kwa maana kupigana na Israel ni unapigana na USA na washirika wa Magharib. Mimi muislamu ila nikiri shida kubwa ni Iran, hawa wamepandikiza chuki kila sehemu nchi za watu kwa kutumia ushawishi wao vikundi vya kishia. Ni wakati ku support Israel na US kuwaondoa hawa Iran dunia itakuwa na amani hasa mashariki ya kati.
Pumbfu. Hakuna mwislamu mjinga wa kama wewe
 
Hujui kitu wewe kaa kimya.
Israel dini yao kubwa ni Judaism ambao wanatumia biblia agano la kale kama kitabu chao kitakatifu. Wakristo wanatumia biblia hiyo hiyo kama reference yao wakiongezea na agano jipya. Mpaka hapo nadhani unapata picha ya uhusiano uliopo baina ya waisraeli na wakristo.
Acha ujinga. Waisrael hawamtambui yesu na hawamtaki kabisa
 
Mikwara mbuzi!
Hawa Waajemi wa kisasa waoga tu, ingekuwa Iran imefanya ilichokifanya Israel katika viunga vya Tel Aviv, saa hii tungekuwa tunazungumza habari nyingine hapa.
 
Hapa sasa umeongea kama msomi ndugu muislam, ki ukweli Iran inawapandikizia chuki sana waislamu nakuona kwamba wakristo ni adui yenu na hivyo palipo na wakristo mnatamani kuwafuta wote. Hilo ni kosa kubwa kwa sababu adui yetu mkubwa wanadamu ni ibilis shetani. Jamii ya kikristo haitakubali uvamizi wowote ule wa Iran na washirika wake, hivyo kwa kuendelea kutia kiburi watapigwa tu.
Sisi Tanzania tunaweza kuwa hatujapiga hatua kubwa sana kiuchumi ila kitu kimoja ni lazima sote tukilinde bila kujali dini, itikikadi zetu ni amani, na amani haiji hivi hivi ni mambo yanaanza kifamilia. Marafiki zangu wengi ni wa dini zote na sijawahi hata siku moja machoni kuona huyu ni tofauti na huyu. Tunashiriki pamoja kwenye sherehe, tunazikana na kutembeleana tukiwa wagonjwa. Tusiruhusu ndani au nje kutuletea fitna hii tusikibali kabisa.
 
Imam Hussein kipenzi chetu cha dhati aingilie kati umma wa washia Iran wanauchukia utawala wa Ayatollah usifanye huu upuzi wa kisasi. Washia wengi hamtupendi huu utawala wa Ayatollah.

Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu Imam
We chizi xx hapa hakuna Shia wala Sunni wote ni waislam wacha mzayuni abondwe
 
Mashariki ya kati vita inapiganwa kwa maneno sana kuliko vitendo.
 
Taka ingine hezbollar imetangulizwa huko.
Al Jazeera

News|Hezbollah

Hezbollah says top commander Fuad Shukr killed in Israeli strike on Beirut​

Lebanon’s Health Ministry said three people, including two children, were killed and 74 also wounded in the attack.
People gather where an Israeli air strike targeted the southern parts of Beirut.
Civil defence members and local residents gather near a site hit by an Israeli strike in Beirut, Lebanon on Tuesday, July 30, 2024 [Mohamed Azakir/Reuters]
Published On 31 Jul 202431 Jul 2024
Lebanese group Hezbollah has confirmed that its senior commander Fuad Shukr was killed in an Israeli attack in southern Beirut.
The Israeli military said it carried out a “precision strike” in Beirut on Tuesday that killed Shukr, adding that he had been responsible for the missile strike that killed 12 children playing football in Majdal Shams in the occupied Golan Heights on Saturday.
 
Hii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.
Uturuki ni mbwa anayebweka wala hataingia
 
Mkuu kulikuwa na ulazima gani kutueleza kwamba wewe ni mkristo ?
Ni kwa sababu waathiriwa wakuu wa hiyo vita ni Wapalestina na ambao wengi wao ni waumini wa dini ya Kiislam. Bila shaka hamtaniuliza tena hili swali. Na sidhani pia kama ni kosa la jinai nikijitambulisha kuwa mimi ni Mkristo
 
Back
Top Bottom