mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Ach upumbavu, vatican ndio makao mkuu ya wakatoliki, ulion wpi iran walikuwa na matatizo na vatican. Na nani kakudanganya Israeli ni wakiristo?Hapa sasa umeongea kama msomi ndugu muislam, ki ukweli Iran inawapandikizia chuki sana waislamu nakuona kwamba wakristo ni adui yenu na hivyo palipo na wakristo mnatamani kuwafuta wote. Hilo ni kosa kubwa kwa sababu adui yetu mkubwa wanadamu ni ibilis shetani. Jamii ya kikristo haitakubali uvamizi wowote ule wa Iran na washirika wake, hivyo kwa kuendelea kutia kiburi watapigwa tu.
Mkuu kulikuwa na ulazima gani kutueleza kwamba wewe ni mkristo ?Mimi ni muumini wa dini ya Kikristo. Ila kamwe siyaungi mkono mataifa ya uovu duniani yakiwemo ya Marekani, Israel, na vibaraka wao.
Hujui kitu wewe kaa kimya.Ach upumbavu, vatican ndio makao mkuu ya wakatoliki, ulion wpi iran walikuwa na matatizo na vatican. Na nani kakudanganya Israeli ni wakiristo?
Walidhani ni mchezo.Ukweli sasa umedhihiri.Mwanzo wa mwisho uzayuni ilikuwa ni tarehe 7/10/2023.
Sasa hivi wanatapatapa tu. Watanyofolewa mdogo mdogo kutoka kila pembe mpaka waikimbie ardhi yote ya Palestina, million 2 waliokwisha kimbia ni mwanzo tu.
Pumbfu. Hakuna mwislamu mjinga wa kama weweUnajuwa Israel ni ma zionist kwa maana wametoka kila sehemu na wana ushawishi mkubwa na vita sio wao tu nyuma yao kwa asilimia kubwa ni USA hapigani peke yake kwa maana kupigana na Israel ni unapigana na USA na washirika wa Magharib. Mimi muislamu ila nikiri shida kubwa ni Iran, hawa wamepandikiza chuki kila sehemu nchi za watu kwa kutumia ushawishi wao vikundi vya kishia. Ni wakati ku support Israel na US kuwaondoa hawa Iran dunia itakuwa na amani hasa mashariki ya kati.
😂😂😂😂😂😂 Wewe jamaa una utani wa kibabu.
Acha ujinga. Waisrael hawamtambui yesu na hawamtaki kabisaHujui kitu wewe kaa kimya.
Israel dini yao kubwa ni Judaism ambao wanatumia biblia agano la kale kama kitabu chao kitakatifu. Wakristo wanatumia biblia hiyo hiyo kama reference yao wakiongezea na agano jipya. Mpaka hapo nadhani unapata picha ya uhusiano uliopo baina ya waisraeli na wakristo.
Hahaha kwamba faiza fox awe wa 72 wakakunjwe ahera na ayatola hahaha
Sisi Tanzania tunaweza kuwa hatujapiga hatua kubwa sana kiuchumi ila kitu kimoja ni lazima sote tukilinde bila kujali dini, itikikadi zetu ni amani, na amani haiji hivi hivi ni mambo yanaanza kifamilia. Marafiki zangu wengi ni wa dini zote na sijawahi hata siku moja machoni kuona huyu ni tofauti na huyu. Tunashiriki pamoja kwenye sherehe, tunazikana na kutembeleana tukiwa wagonjwa. Tusiruhusu ndani au nje kutuletea fitna hii tusikibali kabisa.Hapa sasa umeongea kama msomi ndugu muislam, ki ukweli Iran inawapandikizia chuki sana waislamu nakuona kwamba wakristo ni adui yenu na hivyo palipo na wakristo mnatamani kuwafuta wote. Hilo ni kosa kubwa kwa sababu adui yetu mkubwa wanadamu ni ibilis shetani. Jamii ya kikristo haitakubali uvamizi wowote ule wa Iran na washirika wake, hivyo kwa kuendelea kutia kiburi watapigwa tu.
We chizi xx hapa hakuna Shia wala Sunni wote ni waislam wacha mzayuni abondweImam Hussein kipenzi chetu cha dhati aingilie kati umma wa washia Iran wanauchukia utawala wa Ayatollah usifanye huu upuzi wa kisasi. Washia wengi hamtupendi huu utawala wa Ayatollah.
Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu Imam
Ni vizuri ukasema upumbavu upi na mimi sikuongelea waislamu nimeongea kama mimi muislamu. Usijumlishe na wewe ongea kama wewe.Pumbfu. Hakuna mwislamu mjinga wa kama wewe
Kwani Faiza alisema yeye ni bikra? Au unatulisha maneno
Uturuki ni mbwa anayebweka wala hataingiaHii vita ipo stage mbaya sana maana Wahouth, Hizbollah na sasa Iran wamechachamaa,yaani nawaona US na Europe wapo Standby ,inawezekana ndio tunaelekea kwenye WW III.Rais wa Turkey kasema nae ataingilia kumsaidia Mpalestina,yaani vurugu tupu.
Ni kwa sababu waathiriwa wakuu wa hiyo vita ni Wapalestina na ambao wengi wao ni waumini wa dini ya Kiislam. Bila shaka hamtaniuliza tena hili swali. Na sidhani pia kama ni kosa la jinai nikijitambulisha kuwa mimi ni MkristoMkuu kulikuwa na ulazima gani kutueleza kwamba wewe ni mkristo ?
Hawana habari za kumpiga Israel 😂Hapa Kisiju watu hawana habari. Wapo bize na swala 5 mwanzo-mwenga