Ayatollah Khamenei kuongoza Sala ya ijumaa Leo na kutoa hutuba nzito

Ayatollah Khamenei kuongoza Sala ya ijumaa Leo na kutoa hutuba nzito

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei anatarajiwa kuongoza sala ya Ijumaa na kutoa hotuba ya hadhara ambayo wengi wanadhani inaweza kueleza mipango Iran baada ya shambulio kubwa la kombora dhidi ya adui yake Israel.

Hotuba hii adimu ya Khamene itakiwa ni ya kwanza baada ya takriban miaka mitano na inakuja siku tatu kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza, vilivyoanzishwa na shambulio la kundi la kigaidi la Wapalestina lililoungwa mkono na Iran tarehe 7 Oktoba.

Kiongozi huyo mkuu, ambaye ana mamlaka ya juu kabisa nchini Iran, ataongoza Waislamu katika sala kwenye msikiti mkubwa wa Imam Khomeini Grand Mosalla katikati ya Tehran, kwa mujibu wa tovuti yake rasmi.

Sala hiyo itafuatia "sherehe ya kumbukumbu" saa 4:30 asubuhi kwa Hassan Nasrallah, kiongozi aliyeuawa wa kundi la kigaidi la Hezbollah lenye uungwaji mkono wa Tehran nchini Lebanon.

Walinzi wa Mapinduzi wa Iran, ambao wanamtii Khamenei, walisema mashambulio ya makombora 200 siku ya Jumanne yalikuwa ni kulipiza kisasi kwa kuuawa kwa Nasrallah pamoja na kamanda wa Walinzi, Abbas Nilforoushan, katika shambulio la mwishoni mwa Septemba huko Beirut, na kuuawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, huko Tehran mnamo Julai.

Khamenei mara ya mwisho aliongoza sala ya Ijumaa mwezi Januari 2020 baada ya Iran kufyatua makombora kwenye kambi ya jeshi la Marekani nchini Iraq, kufuatia shambulio lililomuua kamanda mashuhuri wa Walinzi wa Mapinduzi, Qassem Soleimani.

===================================================

Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is set to lead Friday prayers and deliver a public sermon that could shed light on the Islamic Republic’s plans after a massive missile attack on enemy Israel.

Khamenei’s rare Friday sermon — a first in almost five years — comes three days before the one-year anniversary of the Israel-Hamas war in Gaza, triggered by the Iran-backed Palestinian terror group’s October 7 attack.

The supreme leader, who wields the highest authority in Iran, will lead Muslims in prayer at the Imam Khomeini Grand Mosalla mosque in central Tehran, his official website says.

The prayer will follow “a commemoration ceremony” at 10:30 a.m. local time for Hassan Nasrallah, the slain leader of Tehran-backed Lebanese terror movement Hezbollah.

Iran’s Revolutionary Guards, who answer to Khamenei, said Tuesday’s barrages of some 200 missiles were in retaliation for Israel’s killing of Nasrallah alongside Guards commander Abbas Nilforoushan in a late September strike on Beirut, and of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran in July.

Khamenei last led Friday prayers in January 2020 after Iran fired missiles at a US army base in Iraq, in response to a strike that killed revered Revolutionary Guards commander Qassem Soleimani.
 
Sio raisi huu muda ni wa kuishi kwa maandaki km 100 kwenda chini,vichwa vinatafutwa kwa hudi na uvumba na hatutumii simu ni mwendo wa barua tu
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kiongozi huyo Mkuu wa Mapinduzi ya Iran mara ya Mwisho kuongoza Sala ya ijumaa imepita miaka mitano

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo

Advertisement

Live Updatearrow right icon From the Liveblog of Friday,
October 4, 2024

Iran’s Khamenei to give rare Friday sermon following missile attack on Israel​

By AFPToday, 5:46 am 21
Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei speaking during a meeting with Iran's president and his cabinet in Tehran on August 27, 2024. (Khamenei.ir/AFP)'s president and his cabinet in Tehran on August 27, 2024. (Khamenei.ir/AFP)
Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei speaking during a meeting with Iran's president and his cabinet in Tehran on August 27, 2024. (Khamenei.ir/AFP)
TEHRAN, Iran — Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is set to lead Friday prayers and deliver a public sermon that could shed light on the Islamic Republic’s plans after a massive missile attack on enemy Israel.
Khamenei’s rare Friday sermon — a first in almost five years — comes three days before the one-year anniversary of the Israel-Hamas war in Gaza, triggered by the Iran-backed Palestinian terror group’s October 7 attack.
The supreme leader, who wields the highest authority in Iran, will lead Muslims in prayer at the Imam Khomeini Grand Mosalla mosque in central Tehran, his official website says.



The prayer will follow “a commemoration ceremony” at 10:30 a.m. local time for Hassan Nasrallah, the slain leader of Tehran-backed Lebanese terror movement Hezbollah.
Iran’s Revolutionary Guards, who answer to Khamenei, said Tuesday’s barrages of some 200 missiles were in retaliation for Israel’s killing of Nasrallah alongside Guards commander Abbas Nilforoushan in a late September strike on Beirut, and of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran in July.
Khamenei last led Friday prayers in January 2020 after Iran fired missiles at a US army base in Iraq, in response to a strike that killed revered Revolutionary Guards commander Qassem Soleimani.



Back to top
The Times of Israel
© 2024 The Times of Israel, all rights reserved
Developed by

Powered by
Wapenda haki tupo tayari kusikiliza hotuba ya mtu jasiri kuliko wote hapa ulimwenguni kwa hivi sasa israel marekani na uk waseme suu abonyeze red burton ya nuclear atakuwa ameishikiali wakati akihutubia!
 
Hawa Ayotollahs hotuba zao zinakuwaga kama vile kuaga yaani wanajipa kwaheri/buriani Rejea hotuba ya raisi Rais wa Iran, ikafuata, Haniyeh Nasrallah, aliye mrithi Nasrallah na sasa huyu Ayotollah mkuu. Yetu macho na masikio Tunasubiri kuona. Huyu ponapona yake labda sababu ya Biden anamtetea kwa Netanyahu ili asilengwe 🤔
 
Katikati ya Tension anachomoza kichwa, ngoja tuone kama ataweza kujitoa muhanga.
 
Hawa Ayotollahs hotuba zao zinakuwaga kama vile kuaga yaani wanajipa kwaheri/buriani Rejea hotuba ya raisi Rais wa Iran, ikafuata, Haniyeh Nasrallah, aliye mrithi Nasrallah na sasa huyu Ayotollah mkuu. Yetu macho na masikio Tunasubiri kuona. Huyu ponapona yake labda sababu ya Biden anamtetea kwa Netanyahu ili asilengwe 🤔
Kuna Major General Qassim, Alipigwa Chap Chap
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kiongozi huyo Mkuu wa Mapinduzi ya Iran mara ya Mwisho kuongoza Sala ya ijumaa imepita miaka mitano

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo

Advertisement

Live Updatearrow right icon From the Liveblog of Friday,
October 4, 2024

Iran’s Khamenei to give rare Friday sermon following missile attack on Israel​

By AFPToday, 5:46 am 21
Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei speaking during a meeting with Iran's president and his cabinet in Tehran on August 27, 2024. (Khamenei.ir/AFP)'s president and his cabinet in Tehran on August 27, 2024. (Khamenei.ir/AFP)
Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei speaking during a meeting with Iran's president and his cabinet in Tehran on August 27, 2024. (Khamenei.ir/AFP)
TEHRAN, Iran — Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is set to lead Friday prayers and deliver a public sermon that could shed light on the Islamic Republic’s plans after a massive missile attack on enemy Israel.
Khamenei’s rare Friday sermon — a first in almost five years — comes three days before the one-year anniversary of the Israel-Hamas war in Gaza, triggered by the Iran-backed Palestinian terror group’s October 7 attack.
The supreme leader, who wields the highest authority in Iran, will lead Muslims in prayer at the Imam Khomeini Grand Mosalla mosque in central Tehran, his official website says.



The prayer will follow “a commemoration ceremony” at 10:30 a.m. local time for Hassan Nasrallah, the slain leader of Tehran-backed Lebanese terror movement Hezbollah.
Iran’s Revolutionary Guards, who answer to Khamenei, said Tuesday’s barrages of some 200 missiles were in retaliation for Israel’s killing of Nasrallah alongside Guards commander Abbas Nilforoushan in a late September strike on Beirut, and of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran in July.
Khamenei last led Friday prayers in January 2020 after Iran fired missiles at a US army base in Iraq, in response to a strike that killed revered Revolutionary Guards commander Qassem Soleimani.



Back to top
The Times of Israel
© 2024 The Times of Israel, all rights reserved
Developed by

Powered by
Sawa, sisi jeshi letu uwezo wake ni kutengeneza manati tu. Kinyume cha hapo uwezo wao ni kuwa vidampa wa CCM
 
Hizbollah ina uwezo mkubwa wa kuact in decentralized manner. Kuua Political leaders hakuwezi kumaliza cells ndogo ndogo nyingi za Hizbollah ambazo zinaact independently huku zikiwa na mission maalum kila moja.

Hizbollah iliundwa kama Guarella warfare movement. Wamejiandaa vya kutosha pindi viongozi wao wakiuliwa!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei anatarajiwa kuongoza sala ya Ijumaa na kutoa hotuba ya hadhara ambayo wengi wanadhani inaweza kueleza mipango Iran baada ya shambulio kubwa la kombora dhidi ya adui yake Israel.

Hotuba hii adimu ya Khamene itakiwa ni ya kwanza baada ya takriban miaka mitano na inakuja siku tatu kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza, vilivyoanzishwa na shambulio la kundi la kigaidi la Wapalestina lililoungwa mkono na Iran tarehe 7 Oktoba.

Kiongozi huyo mkuu, ambaye ana mamlaka ya juu kabisa nchini Iran, ataongoza Waislamu katika sala kwenye msikiti mkubwa wa Imam Khomeini Grand Mosalla katikati ya Tehran, kwa mujibu wa tovuti yake rasmi.

Sala hiyo itafuatia "sherehe ya kumbukumbu" saa 4:30 asubuhi kwa Hassan Nasrallah, kiongozi aliyeuawa wa kundi la kigaidi la Hezbollah lenye uungwaji mkono wa Tehran nchini Lebanon.

Walinzi wa Mapinduzi wa Iran, ambao wanamtii Khamenei, walisema mashambulio ya makombora 200 siku ya Jumanne yalikuwa ni kulipiza kisasi kwa kuuawa kwa Nasrallah pamoja na kamanda wa Walinzi, Abbas Nilforoushan, katika shambulio la mwishoni mwa Septemba huko Beirut, na kuuawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, huko Tehran mnamo Julai.

Khamenei mara ya mwisho aliongoza sala ya Ijumaa mwezi Januari 2020 baada ya Iran kufyatua makombora kwenye kambi ya jeshi la Marekani nchini Iraq, kufuatia shambulio lililomuua kamanda mashuhuri wa Walinzi wa Mapinduzi, Qassem Soleimani.

===================================================

Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is set to lead Friday prayers and deliver a public sermon that could shed light on the Islamic Republic’s plans after a massive missile attack on enemy Israel.

Khamenei’s rare Friday sermon — a first in almost five years — comes three days before the one-year anniversary of the Israel-Hamas war in Gaza, triggered by the Iran-backed Palestinian terror group’s October 7 attack.

The supreme leader, who wields the highest authority in Iran, will lead Muslims in prayer at the Imam Khomeini Grand Mosalla mosque in central Tehran, his official website says.

The prayer will follow “a commemoration ceremony” at 10:30 a.m. local time for Hassan Nasrallah, the slain leader of Tehran-backed Lebanese terror movement Hezbollah.

Iran’s Revolutionary Guards, who answer to Khamenei, said Tuesday’s barrages of some 200 missiles were in retaliation for Israel’s killing of Nasrallah alongside Guards commander Abbas Nilforoushan in a late September strike on Beirut, and of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran in July.
Khamenei last led Friday prayers in January 2020 after Iran fired missiles at a US army base in Iraq, in response to a strike that killed revered Revolutionary Guards commander Qassem Soleimani.
Hii ni hotuba ya mwisho ya kilemba.hata gaidi nasra alivyotoa hotuba tu next game akawa majivu ..kilemba nae anapita mulemule ili maandiko yatimie pumbafuuu zake
 
Hii ni hotuba ya mwisho ya kilemba.hata gaidi nasra alivyotoa hotuba tu next game akawa majivu ..kilemba nae anapita mulemule ili maandiko yatimie pumbafuuu zake
Shida sio kumuua shida baada ya kumuua Ayatollah nini kinafuata? Hilo litakua tangazo la vita na muhusika sidhani kama Marekani anahitaji hii kitu itokee
 
Back
Top Bottom