Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei anatarajiwa kuongoza sala ya Ijumaa na kutoa hotuba ya hadhara ambayo wengi wanadhani inaweza kueleza mipango Iran baada ya shambulio kubwa la kombora dhidi ya adui yake Israel.
Hotuba hii adimu ya Khamene itakiwa ni ya kwanza baada ya takriban miaka mitano na inakuja siku tatu kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza, vilivyoanzishwa na shambulio la kundi la kigaidi la Wapalestina lililoungwa mkono na Iran tarehe 7 Oktoba.
Kiongozi huyo mkuu, ambaye ana mamlaka ya juu kabisa nchini Iran, ataongoza Waislamu katika sala kwenye msikiti mkubwa wa Imam Khomeini Grand Mosalla katikati ya Tehran, kwa mujibu wa tovuti yake rasmi.
Sala hiyo itafuatia "sherehe ya kumbukumbu" saa 4:30 asubuhi kwa Hassan Nasrallah, kiongozi aliyeuawa wa kundi la kigaidi la Hezbollah lenye uungwaji mkono wa Tehran nchini Lebanon.
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran, ambao wanamtii Khamenei, walisema mashambulio ya makombora 200 siku ya Jumanne yalikuwa ni kulipiza kisasi kwa kuuawa kwa Nasrallah pamoja na kamanda wa Walinzi, Abbas Nilforoushan, katika shambulio la mwishoni mwa Septemba huko Beirut, na kuuawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, huko Tehran mnamo Julai.
Khamenei mara ya mwisho aliongoza sala ya Ijumaa mwezi Januari 2020 baada ya Iran kufyatua makombora kwenye kambi ya jeshi la Marekani nchini Iraq, kufuatia shambulio lililomuua kamanda mashuhuri wa Walinzi wa Mapinduzi, Qassem Soleimani.
===================================================
Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is set to lead Friday prayers and deliver a public sermon that could shed light on the Islamic Republic’s plans after a massive missile attack on enemy Israel.
Khamenei’s rare Friday sermon — a first in almost five years — comes three days before the one-year anniversary of the Israel-Hamas war in Gaza, triggered by the Iran-backed Palestinian terror group’s October 7 attack.
The supreme leader, who wields the highest authority in Iran, will lead Muslims in prayer at the Imam Khomeini Grand Mosalla mosque in central Tehran, his official website says.
The prayer will follow “a commemoration ceremony” at 10:30 a.m. local time for Hassan Nasrallah, the slain leader of Tehran-backed Lebanese terror movement Hezbollah.
Iran’s Revolutionary Guards, who answer to Khamenei, said Tuesday’s barrages of some 200 missiles were in retaliation for Israel’s killing of Nasrallah alongside Guards commander Abbas Nilforoushan in a late September strike on Beirut, and of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran in July.
Khamenei last led Friday prayers in January 2020 after Iran fired missiles at a US army base in Iraq, in response to a strike that killed revered Revolutionary Guards commander Qassem Soleimani.
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei anatarajiwa kuongoza sala ya Ijumaa na kutoa hotuba ya hadhara ambayo wengi wanadhani inaweza kueleza mipango Iran baada ya shambulio kubwa la kombora dhidi ya adui yake Israel.
Hotuba hii adimu ya Khamene itakiwa ni ya kwanza baada ya takriban miaka mitano na inakuja siku tatu kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza, vilivyoanzishwa na shambulio la kundi la kigaidi la Wapalestina lililoungwa mkono na Iran tarehe 7 Oktoba.
Kiongozi huyo mkuu, ambaye ana mamlaka ya juu kabisa nchini Iran, ataongoza Waislamu katika sala kwenye msikiti mkubwa wa Imam Khomeini Grand Mosalla katikati ya Tehran, kwa mujibu wa tovuti yake rasmi.
Sala hiyo itafuatia "sherehe ya kumbukumbu" saa 4:30 asubuhi kwa Hassan Nasrallah, kiongozi aliyeuawa wa kundi la kigaidi la Hezbollah lenye uungwaji mkono wa Tehran nchini Lebanon.
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran, ambao wanamtii Khamenei, walisema mashambulio ya makombora 200 siku ya Jumanne yalikuwa ni kulipiza kisasi kwa kuuawa kwa Nasrallah pamoja na kamanda wa Walinzi, Abbas Nilforoushan, katika shambulio la mwishoni mwa Septemba huko Beirut, na kuuawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, huko Tehran mnamo Julai.
Khamenei mara ya mwisho aliongoza sala ya Ijumaa mwezi Januari 2020 baada ya Iran kufyatua makombora kwenye kambi ya jeshi la Marekani nchini Iraq, kufuatia shambulio lililomuua kamanda mashuhuri wa Walinzi wa Mapinduzi, Qassem Soleimani.
===================================================
Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is set to lead Friday prayers and deliver a public sermon that could shed light on the Islamic Republic’s plans after a massive missile attack on enemy Israel.
Khamenei’s rare Friday sermon — a first in almost five years — comes three days before the one-year anniversary of the Israel-Hamas war in Gaza, triggered by the Iran-backed Palestinian terror group’s October 7 attack.
The supreme leader, who wields the highest authority in Iran, will lead Muslims in prayer at the Imam Khomeini Grand Mosalla mosque in central Tehran, his official website says.
The prayer will follow “a commemoration ceremony” at 10:30 a.m. local time for Hassan Nasrallah, the slain leader of Tehran-backed Lebanese terror movement Hezbollah.
Iran’s Revolutionary Guards, who answer to Khamenei, said Tuesday’s barrages of some 200 missiles were in retaliation for Israel’s killing of Nasrallah alongside Guards commander Abbas Nilforoushan in a late September strike on Beirut, and of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran in July.
Khamenei last led Friday prayers in January 2020 after Iran fired missiles at a US army base in Iraq, in response to a strike that killed revered Revolutionary Guards commander Qassem Soleimani.
