Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mimi siwezi kusema hivyo kwa sababu sijui maana yake.Sawa
Tuseme Wote Takbiir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siwezi kusema hivyo kwa sababu sijui maana yake.Sawa
Tuseme Wote Takbiir
Yani dunia ikae kumsikiliza Ayattoullah? huyo atakuwa na kaswende ya ubongo huwa anapenda kujipa umuhimu ambao hana.Mkuu wa Nchi ya Iran Ayatollah Ali Khamenei Leo atazungumza na Dunia kwenye Swala ya Jumaa
Hii ni mara ya kwanza kwa Kipindi cha Miaka Mitano iliyopita
Source: BBC
mrembo mamboo😁😁😁Mimi siwezi kusema hivyo kwa sababu sijui maana yake.
mambo mrembo 😉Yani dunia ikae kumsikiliza Ayattoullah? huyo atakuwa na kaswende ya ubongo huwa anapenda kujipa umuhimu ambao hana.
Ameshindwa kumlinda kiongozi wa Hamas Haniya ameuwawa Tehran sasa nadhani ni wakati wa Mossad kumla kichwa huyu mpuuzi.
Ninamzidi mama yako mzazi kwa urembo?mrembo mamboo😁😁😁
Nimeshangaa sana, yani hotuba ya swala ya ijumaa eti ndio kuongea na dunia.Anaongea msikitini au na dunia?Aache kujikweza.
Una hamu ya kufirigiswa leo?Kila id unataka ikupige miti?Niokolidondo wewe!mambo mrembo 😉
sanaa ndiomana nataka nikuoe nikupeleke Kwa mamá akuone.au unasemaje Beauty?Ninamzidi mama yako mzazi kwa urembo?
mrembo mamboo I miss you so muchUna hamu ya kufirigiswa leo?Kila id unataka ikupige miti?Niokolidondo wewe!
sanaa ndiomana nataka nikuoe nikupeleke Kwa mamá akuone.au unasemaje Beauty?
nimechoka kukuchezea nataka tufunge pingu zamaisha.
I love you so much
Acha utoto na ujingaujinga.mrembo mamboo I miss you so much
beautiful wife for me.nakupenda sanaAcha utoto na ujingaujinga.
Una utoto sana.Acha mazoea na mtu usiyemjua mjinga wewe.beautiful wife for me.nakupenda sana
Kwanini unanidhalilisha my nimekukosea nini mrembo wanguUna utoto sana.Acha mazoea na mtu usiyemjua mjinga wewe.
Hawezi toka kwenye ANDAKI!Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei anatarajiwa kuongoza sala ya Ijumaa na kutoa hotuba ya hadhara ambayo wengi wanadhani inaweza kueleza mipango Iran baada ya shambulio kubwa la kombora dhidi ya adui yake Israel.
Hotuba hii adimu ya Khamene itakiwa ni ya kwanza baada ya takriban miaka mitano na inakuja siku tatu kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza, vilivyoanzishwa na shambulio la kundi la kigaidi la Wapalestina lililoungwa mkono na Iran tarehe 7 Oktoba.
Kiongozi huyo mkuu, ambaye ana mamlaka ya juu kabisa nchini Iran, ataongoza Waislamu katika sala kwenye msikiti mkubwa wa Imam Khomeini Grand Mosalla katikati ya Tehran, kwa mujibu wa tovuti yake rasmi.
Sala hiyo itafuatia "sherehe ya kumbukumbu" saa 4:30 asubuhi kwa Hassan Nasrallah, kiongozi aliyeuawa wa kundi la kigaidi la Hezbollah lenye uungwaji mkono wa Tehran nchini Lebanon.
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran, ambao wanamtii Khamenei, walisema mashambulio ya makombora 200 siku ya Jumanne yalikuwa ni kulipiza kisasi kwa kuuawa kwa Nasrallah pamoja na kamanda wa Walinzi, Abbas Nilforoushan, katika shambulio la mwishoni mwa Septemba huko Beirut, na kuuawa kwa kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, huko Tehran mnamo Julai.
Khamenei mara ya mwisho aliongoza sala ya Ijumaa mwezi Januari 2020 baada ya Iran kufyatua makombora kwenye kambi ya jeshi la Marekani nchini Iraq, kufuatia shambulio lililomuua kamanda mashuhuri wa Walinzi wa Mapinduzi, Qassem Soleimani.
===================================================
Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is set to lead Friday prayers and deliver a public sermon that could shed light on the Islamic Republic’s plans after a massive missile attack on enemy Israel.
Khamenei’s rare Friday sermon — a first in almost five years — comes three days before the one-year anniversary of the Israel-Hamas war in Gaza, triggered by the Iran-backed Palestinian terror group’s October 7 attack.
The supreme leader, who wields the highest authority in Iran, will lead Muslims in prayer at the Imam Khomeini Grand Mosalla mosque in central Tehran, his official website says.
The prayer will follow “a commemoration ceremony” at 10:30 a.m. local time for Hassan Nasrallah, the slain leader of Tehran-backed Lebanese terror movement Hezbollah.
Iran’s Revolutionary Guards, who answer to Khamenei, said Tuesday’s barrages of some 200 missiles were in retaliation for Israel’s killing of Nasrallah alongside Guards commander Abbas Nilforoushan in a late September strike on Beirut, and of Hamas leader Ismail Haniyeh in Tehran in July.
Khamenei last led Friday prayers in January 2020 after Iran fired missiles at a US army base in Iraq, in response to a strike that killed revered Revolutionary Guards commander Qassem Soleimani.
Utajikuta unapigwa miti halafu ujidai hujazoea.Endelea hivyohivyo. Naku-ignore.Kwani unanidhalilisha my nimekukosea nini mrembo wangu
my beautiful wife miss you tooUtajikuta unapigwa miti halafu ujidai hujazoea.Endelea hivyohivyo. Naku-ignore.
Ebu tuone kama hawatomsikiliza,nawewe tuonane kama haujaja kukomenti kwenye hotuba yake itakapoletwa hapa JfYani dunia ikae kumsikiliza Ayattoullah? huyo atakuwa na kaswende ya ubongo huwa anapenda kujipa umuhimu ambao hana.
Ameshindwa kumlinda kiongozi wa Hamas Haniya ameuwawa Tehran sasa nadhani ni wakati wa Mossad kumla kichwa huyu mpuuzi.
Iran kwasasa ndio mbabe wa dunia,lazima asikilizwe anaongea nini,Nimeshangaa sana, yani hotuba ya swala ya ijumaa eti ndio kuongea na dunia.