Ayatollah Khamenei kuongoza Sala ya ijumaa Leo na kutoa hutuba nzito

Mkuu wa Nchi ya Iran Ayatollah Ali Khamenei Leo atazungumza na Dunia kwenye Swala ya Jumaa

Hii ni mara ya kwanza kwa Kipindi cha Miaka Mitano iliyopita

Source: BBC
Yani dunia ikae kumsikiliza Ayattoullah? huyo atakuwa na kaswende ya ubongo huwa anapenda kujipa umuhimu ambao hana.

Ameshindwa kumlinda kiongozi wa Hamas Haniya ameuwawa Tehran sasa nadhani ni wakati wa Mossad kumla kichwa huyu mpuuzi.
 
Hawezi toka kwenye ANDAKI!
 
Yani dunia ikae kumsikiliza Ayattoullah? huyo atakuwa na kaswende ya ubongo huwa anapenda kujipa umuhimu ambao hana.

Ameshindwa kumlinda kiongozi wa Hamas Haniya ameuwawa Tehran sasa nadhani ni wakati wa Mossad kumla kichwa huyu mpuuzi.
Ebu tuone kama hawatomsikiliza,nawewe tuonane kama haujaja kukomenti kwenye hotuba yake itakapoletwa hapa Jf
 
Location yake afiche la sivyo ya nasra yatamkuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…