Ayatollah Khamenei kuongoza Sala ya ijumaa Leo na kutoa hutuba nzito

 
Kabla ya kufikwa na mauti gaidi Nasrallah naye aliona fahari kutoa hotuba kama hiyo.

Hawa wanajifanya sana kwamba ni viongozi wa kidini lakini wao muda wote wanapiga porojo za kisiasa, hawana maana kabisa.
 
Kabla ya kufikwa na mauti gaidi Nasrallah naye aliona fahari kutoa hotuba kama hiyo.

Hawa wanajifanya sana kwamba ni viongozi wa kidini lakini wao muda wote wanapiga porojo za kisiasa, hawana maana kabisa.
Wewe ndio una maana dini na siasa havitenganiki chukua hio kama ulikua hujui
 
Unashangaa mwanaume kua na silaha? Ila pdidy kua na chupa buku za mafuta hushangai ?
Maana ya kua na hio silaha ni kua fala yeyote akijichanganya anakufa nae
 
Your browser is not able to display this video.
 
Wewe unaongea vitu gani, Tanzania mbona hatulioni hilo na hatuoni wanaolazimishwa kuvaa hijab au nikab, kila mtu anajivalia apendavyo.
Wewe unaongea vitu gani, Tanzania mbona hatulioni hilo na hatuoni wanaolazimishwa kuvaa hijab au nikab, kila mtu anajivalia apendavyo.
Nikikwambia huna akili unaweza ukasema nakutukana

Kwani Tanzania minaa kinu Cha kurutubishia nyuklia?
 
Hii ni hotuba ya mwisho ya kilemba.hata gaidi nasra alivyotoa hotuba tu next game akawa majivu ..kilemba nae anapita mulemule ili maandiko yatimie pumbafuuu zake
Huna unalojua wewe hapo israel muda si mrefu patakuja kutawanyika hivyo ni vita vilivyotabiria tang na tangu issa bin maryam ambae mnamwita yesu atakua upande wa waislam na dajjal bae ant crist atakua upande wa kina nyetanyahu sasa hapo ndio patakua patam
 
Yeye Afanye tu hiyo dawaa yake Israel wanamzu tu. Na yeye inakuwa kama mwenzie Sinwar. Sinwar before and Sinwar after
Halafu mnajua nani kachora hiyo!!?? Ni Msaudi Arabia
 
Hii fiction umeitoa wapi Imam.🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…