petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 803
- 937
Mbona sijaona sura ya huyo anayechezea fedha au ndio maji taka haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa Magu huyo huko Snapchat...... babake yuko huku anatupigia kelele eti Watu walikuwa na pesa za kuchezea sasa zimeondoka, Mbona mwanae bado ambazo pesa za kuchezea mpaka anazimwaga kwenye sakafu???
Jamani huyu ni mtoto wa kiume wa Magu anaeishi Ikulu kabisa anaitwa Clifford Magufuli. Snapchat anatumia Clifford JPM Ila kablock mtu huwezi hata kumsearch. Yani kawa add only his close friends.
Hata hii video imebidi irekodiwe kwa simu ingine ili asijue nani karekodi au kachukua screenshot....ila bahati nzuri one of us close friends is also my informer ndo kanipa video sasa Hivi. Yani Hapa tunavyooongea hizi video bado zippo snapchat
Leo Clifford atachezea kichapo cha babake, nahisi atakabidhiwa kwa Uncle Bashite Maliyamungu akateswe kidogo kwa kosa la kuwaonyesha Tanzania the real luxury life style ya Magufuli and his family na sio ile ya kutunganyia watanzania na kubana matumizi!
Eti pesa imepotea sababu mlizoea kuchezea. Mbona mwanae bado anachezea pesa kama kawa??