Ayub Rioba: JamiiForums ni chombo cha habari na si jukwaa la mtandao

Ayub Rioba: JamiiForums ni chombo cha habari na si jukwaa la mtandao

Huyo mzee ameshindwa kufahamu Jamii Forums ni tofauti kabisa na traditional news websites au publication?

Ndiyo maana amesema "Jamii Forum" badala ya Jamii Forums.

JF ni mtandao wa kijamii kwasababu hapa JF wanachama ndiyo wenye kuweka mabandiko kuhusu mada au habari yoyote ile muhimu iwe ndani ya sheria za JF.

Ajibu swali, je ninaweza sajili akaunti kwenye mtandao wa TBC kwa jina la kificho au halisi na kuweka mabandiko na kuchangia mada na wanachama wengine?

Aache mikwara.

Hawa wazee sometime wana vichwa vigumu kama jiwe.
 
Huyo mzee ameshindwa kufahamu Jamii Forums ni tofauti kabisa na traditional news websites au publication?

Ndiyo maana amesema "Jamii Forum" badala ya Jamii Forums.

JF ni mtandao wa kijamii kwasababu hapa JF wanachama ndiyo wenye kuweka mabandiko kuhusu mada au habari yoyote ile muhimu iwe ndani ya sheria za JF.

Ajibu swali, je ninaweza sajili akaunti kwenye mtandao wa TBC kwa jina la kificho au halisi na kuweka mabandiko na kuchangia mada na wanachama wengine?

Aache mikwara.

Hawa wazee sometime wana vichwa vigumu kama jiwe.
Sema unaweka bandiko linalofurahisha mods, ukizingua wanafuta baadhi ya paragraph au kubali maana kabisa au kufuta uzi wenyewe,

Sasa hizo ndio sifa za chombo cha habari, JF wajithamini sanaaaa, wanafanya kazi kama Millard Ayo tu, hawana utofauti, hawauboreshi mtandao wao kwa speed inayotakiwa,
Ndio mana nilikuwa na ndoto za kuimiliki hii website
 
hata mimi naunga mkono hoja ya daktari ayubu waache kujifanya sijui forum sijui mtandao sijui kitu gani Maxence aajiri watu wenye weledi sio kwa kuangalia ukubwa wa nyash kama vile ni Bar.
 
Sema unaweka bandiko linalofurahisha mods, ukizingua wanafuta baadhi ya paragraph au kubali maana kabisa au kufuta uzi wenyewe,

Sasa hizo ndio sifa za chombo cha habari, JF wajithamini sanaaaa, wanafanya kazi kama Millard Ayo tu, hawana utofauti, hawauboreshi mtandao wao kwa speed inayotakiwa,
Ndio mana nilikuwa na ndoto za kuimiliki hii website
Nakubaliana na wewe JF wanamapungufu.

Hatahivyo, JF ni user-generated content site fahamu hilo.

Huko kwa Millard Ayo ninaweza kusajili akaunti yangu na kuanzisha mada na kujadili na wanachama wengine?
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana.

Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma iliyowasilishwa na Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo aliyesema JamiiForums sio chombo cha Habari bali ni Jukwaa la mtandao.

"Jamii Forum tusipepese macho ni chombo cha Habari kama vyombo vingine na sio Jukwaa tu kama tunavyoambiwa, kitu cha kuwashauri watafute wahariri wazuri wa kuhariri habari zao." amesema Dkt. Rioba
Unamsikia eti ha yu ni Dr., expected of higher level thinking! JF ina tofauti gani na facebook, Tweeter (X), Instagram etc etc.
 
Kwani JF si ina moderators wanaosimamia maudhui ya mijadala jukwaani? Kwa nini JF iajiri wahariri? Lengo ni Censorship ya kuilinda Serikali na watendaji?.... Nahisi JF itaingia kwenye mtihani tena.
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana.

Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa watayarishaji wa vipindi vya Elimu kwa Umma iliyowasilishwa na Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo aliyesema JamiiForums sio chombo cha Habari bali ni Jukwaa la mtandao.

“Jamii Forum tusipepese macho ni chombo cha Habari kama vyombo vingine na sio Jukwaa tu kama tunavyoambiwa, kitu cha kuwashauri watafute wahariri wazuri wa kuhariri habari zao.” amesema Dkt. Rioba.

==

Pia soma:

Mkuu wa Programu JamiiForums: Taasisi za serikali zinapaswa kutambua JamiiForums ni mtandao wa ndani, tuuthamini
...Ina maana amepingana na Mfanyakazi wake Mtoa nada, ama Mtoa Nada Sio wa TBC ???
 
Back
Top Bottom