Ayubu Sikagonamo wa CHADEMA atimiza siku 378 gerezani bila kuhukumiwa

Ayubu Sikagonamo wa CHADEMA atimiza siku 378 gerezani bila kuhukumiwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.

Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?

Siku ya leo Ayubu anatimiza siku 378 jela kwa kesi ya kutengenezwa maabara isiyo na ukweli wowote .

Katika Qoran Tukufu imeandikwa hivi , nanukuu " MWENYEZI MUNGU YUKO PAMOJA NA WENYE KUSUBIRI " Mwisho wa kunukuu

FB_IMG_1631097996463.jpg
 
Huyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.

Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?

View attachment 1929175
hapo ndipo kwa kuyauliza na hayo mbele ya watu wote IGP aeleze hao watu walikamatwa mbona hawapelekwi mahakamani? sasa tunavyosusia sijui wewe kama wewe unaweza kumface igp kumuuliza? lakini kwenye kikao kama hicho angeweza kuulizwa na akatoa maelezo pengine hata hajui hiyo isue laini ikiongelewa inaweza leta ufumbuzi kususa siyo tija waende wakamsikilize na kuongea isuekama hizi
 
Kaka yake ndio yule mtangazaji wa TBC anaitwa Festo Sikagonamo?
Pole sana kamanda
 
hapo ndipo kwa kuyauliza na hayo mbele ya watu wote IGP aeleze hao watu walikamatwa mbona hawapelekwi mahakamani? sasa tunavyosusia sijui wewe kama wewe unaweza kumface igp kumuuliza? lakini kwenye kikao kama hicho angeweza kuulizwa na akatoa maelezo pengine hata hajui hiyo isue laini ikiongelewa inaweza leta ufumbuzi kususa siyo tija waende wakamsikilize na kuongea isuekama hizi
Labda Igp mwingine siyo huyu. Anavyowachukia wapinzani!!
 
Sasa tufanyeje mkuu. Maana hiyo mi ajali kazini.

Angekuwa anafanya kazi ya kujitolea labda, mtu alikuwa kazini anapambania ugali wake na familia yake wewe unataka sisi tushindwe kunywa maji kwasababu yake.
Sijui kwanini masikini wengi wanawaza kula tu ?
 
Huyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.

Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?

View attachment 1929175
Mwache ale jeuri yake maana asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
 
Huyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.

Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?

View attachment 1929175
Mungu azidi kumpa ujasiri..Mungu ibariki CHADEMA
 
Huyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.

Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?

View attachment 1929175
Mungu atamfanyi wepesi kwa Jina la Yesu
 
Huyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.

Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?

View attachment 1929175
Chama cha mapinduzi kilishagakufa sasa hivi ni policcm
 
Sasa tufanyeje mkuu. Maana hiyo mi ajali kazini.

Angekuwa anafanya kazi ya kujitolea labda, mtu alikuwa kazini anapambania ugali wake na familia yake wewe unataka sisi tushindwe kunywa maji kwasababu yake.
Kama huna namna ya kumsaidia angalao tuchukie uonevu na manyanyaso kwa wengine,kwa ubambikiaji na uonevu kwenye siasa zisizo zingatia haki na sheria
 
Back
Top Bottom