Ayubu Sikagonamo wa CHADEMA atimiza siku 378 gerezani bila kuhukumiwa

Ayubu Sikagonamo wa CHADEMA atimiza siku 378 gerezani bila kuhukumiwa

Kama human mamma ya kumsaidia angalao tuchukie uonevu na manyanyaso kwa wengine,kwa ubambikiaji na uonevu kwenye siasa zisizo zingatia haki na sheria
Nitatetea watu wanao onewa.

Ila sina muda wa kutetea nyumbu wanaopimama ubavu kwa starehe zao.

Kama unaambiwa usifanye jambo fulani halafu wewe ukasema sikubali ni lazima nifanye, maana yake umeona unaweza kupambana.

Sasa umepigwa unatafuta huruma utafikiri sisi ndio tulikuta.
 
Nitatetea watu wanao onewa.

Ila sina muda wa kutetea nyumbu wanaopimama ubavu kwa starehe zao.

Kama unaambiwa usifanye jambo fulani halafu wewe ukasema sikubali ni lazima nifanye, maana yake umeona unaweza kupambana.

Sasa umepigwa unatafuta huruma utafikiri sisi ndio tulikuta.
Laana ya milele ikuandame wewe na kizazi chako chote , Amina
 
Nitatetea watu wanao onewa.

Ila sina muda wa kutetea nyumbu wanaopimama ubavu kwa starehe zao.

Kama unaambiwa usifanye jambo fulani halafu wewe ukasema sikubali ni lazima nifanye, maana yake umeona unaweza kupambana.

Sasa umepigwa unatafuta huruma utafikiri sisi ndio tulikuta.
gaidi et al
 
Kawaida wabambikiaji huwa wanatazama yalipo maslahi yao tu, hata kama ni kwakusema uongo au kutenda maovu dhidi ya wale wanao hatarisha maslahi yao.
 
Hatuna mahakama huru Mkuu. Sasa mahakama ni kitengo cha maccm.
Huyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.

Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?

Siku ya leo Ayubu anatimiza siku 378 jela kwa kesi ya kutengenezwa maabara isiyo na ukweli wowote .

Katika Qoran Tukufu imeandikwa hivi , nanukuu " MWENYEZI MUNGU YUKO PAMOJA NA WENYE KUSUBIRI " Mwisho wa kunukuu

View attachment 1929175
 
Katika Qoran Tukufu imeandikwa hivi , nanukuu " MWENYEZI MUNGU YUKO PAMOJA NA WENYE KUSUBIRI " Mwisho wa kunukuu

Kama Quran Takatifu inasema tunapaswa kuvuta subira kwa nini unalalamika na kuhesabu siku?

Watu wetu wa upinzani wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Wewe hutakiwi kuionyesha serikali kwamba kusubiri ni poa, au jela ni poa, au mateso yanavumilika.

Don’t be ridiculous!
 
Kama Quran Takatifu inasema tunapaswa kuvuta subira kwa nini unalalamika na kuhesabu siku?

Watu wetu wa upinzani wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Wewe hutakiwi kuionyesha serikali kwamba kusubiri ni poa, au jela ni poa, au mateso yanavumilika.

Don’t be ridiculous!
umeishia darasa la ngapi ?
 
umeishia darasa la ngapi ?
Mimi nilikwamia mtihani wa Form II. Sijui wewe mwenzangu.

Haya, jibu swali la awali:

Q’urani Takatifu umesema imekwambia itakubariki ukivuta subira.

Kwa nini unaleta manung’uniko ya kuhesabu siku za mfungwa badala ya kuvuta subira ????
 
Sasa tufanyeje mkuu. Maana hiyo mi ajali kazini.

Angekuwa anafanya kazi ya kujitolea labda, mtu alikuwa kazini anapambania ugali wake na familia yake wewe unataka sisi tushindwe kunywa maji kwasababu yake.
Akikujibu nitag
 
Back
Top Bottom