Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hapo ndipo kwa kuyauliza na hayo mbele ya watu wote IGP aeleze hao watu walikamatwa mbona hawapelekwi mahakamani? sasa tunavyosusia sijui wewe kama wewe unaweza kumface igp kumuuliza? lakini kwenye kikao kama hicho angeweza kuulizwa na akatoa maelezo pengine hata hajui hiyo isue laini ikiongelewa inaweza leta ufumbuzi kususa siyo tija waende wakamsikilize na kuongea isuekama hiziHuyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.
Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?
View attachment 1929175
Labda Igp mwingine siyo huyu. Anavyowachukia wapinzani!!hapo ndipo kwa kuyauliza na hayo mbele ya watu wote IGP aeleze hao watu walikamatwa mbona hawapelekwi mahakamani? sasa tunavyosusia sijui wewe kama wewe unaweza kumface igp kumuuliza? lakini kwenye kikao kama hicho angeweza kuulizwa na akatoa maelezo pengine hata hajui hiyo isue laini ikiongelewa inaweza leta ufumbuzi kususa siyo tija waende wakamsikilize na kuongea isuekama hizi
Sijui kwanini masikini wengi wanawaza kula tu ?Sasa tufanyeje mkuu. Maana hiyo mi ajali kazini.
Angekuwa anafanya kazi ya kujitolea labda, mtu alikuwa kazini anapambania ugali wake na familia yake wewe unataka sisi tushindwe kunywa maji kwasababu yake.
Mwache ale jeuri yake maana asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwenguHuyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.
Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?
View attachment 1929175
Mungu azidi kumpa ujasiri..Mungu ibariki CHADEMAHuyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.
Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?
View attachment 1929175
Mungu atamfanyi wepesi kwa Jina la YesuHuyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.
Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?
View attachment 1929175
Tunaendelea kumlilia Mungu mwenye HakiMungu azidi kumpa ujasiri..Mungu ibariki CHADEMA
Chama cha mapinduzi kilishagakufa sasa hivi ni policcmHuyu ni kijana aliyechangia kwa kiasi kikubwa sana kusambaratishwa kwa ccm huko Tunduma , alikuwa diwani wa Tunduma Mkoa wa Songwe , alishakamatwa mara kadhaa na kuachiwa kama wakamatwavyo viongozi wengi wa Chadema.
Ili kumkomoa akatengenezewa kesi ya Uhujumu uchumi , yaani diwani na Mkulima wa jembe la mkono wa Mahindi kutoka Songwe anapewa kesi ya uongo ya Uhujumu uchumi kwa sababu ya siasa ! Halafu watu wanataka vikao na IGP ili iweje ?
View attachment 1929175
Heri yenu ninyi mliotajirika chini ya utawala wa CCM huku sisi tukoendelea kuwa masikini.Sijui kwanini masikini wengi wanawaza kula tu ?
Umasikini si jambo la kujivunia hata chembeHeri yenu ninyi mliotajirika chini ya utawala wa CCM huku sisi tukoendelea kuwa masikini.
MBONA wewe huwa unawacheka wanaoongelea shida na kuwaita maskini kabisa?Umasikini si jambo la kujivunia hata chembe
Hakuna chama kinaitwa ccm ni ccm-magaidiChama cha mapinduzi kilishagakufa sasa hivi ni policcm
Kama huna namna ya kumsaidia angalao tuchukie uonevu na manyanyaso kwa wengine,kwa ubambikiaji na uonevu kwenye siasa zisizo zingatia haki na sheriaSasa tufanyeje mkuu. Maana hiyo mi ajali kazini.
Angekuwa anafanya kazi ya kujitolea labda, mtu alikuwa kazini anapambania ugali wake na familia yake wewe unataka sisi tushindwe kunywa maji kwasababu yake.