Ayubu Sikagonamo wa CHADEMA atimiza siku 378 gerezani bila kuhukumiwa

Wewe mbwa hata kupigwa risasi kwa tundu Lisu ulifurahia. Wewe una maslai katika uonevu na kutokutenda haki. Ni mnufaika wa ushetani
 
Justice for Ayoub...Chief Hangaya...sijui ameziba masikio au masikio yatoka damu....??
 
Na ndio maana wengi wetu ni mashujaa kwa utambulisho feki mitandaon kwa kuogopa zahma km hizo kwa siku hizo alizokaa ndani familia ingelijimudu VP labda
 
Acha kulia lia na kujitetea kama unatoka kupigwa miti. Fungua hekalu basi uwaite wanywa mbege wenzio mhubiriane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…