Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Sio pw😂😂 wanatafuta sehem ya kupunguzia makasiriko...Mbumbumbu wanahaha
Yanga Mzee Mpili kawaharibu Sana. Mnahesabu magoli hewani.Simba waangaliwe kwa umakini maana wanaweweseka wanataka wamlaumu refa ila wakikumbuka Kawabeba Chuma nne wanaishia kusema "hatuna Cha kuwadai"
Unakoelekea..!! Sijui..!!Yaani Shabaan Juma akiwa Yanga walimwita "Waziri wa maji" alipohama tu wakaacha kumwita.
Leo hii lile jina la "Triple C Mwamba wa Lusaka" washaacha kumwita tena Cloutus Chama.
Imekuwa kama ni kawaida watangazaji wa Azam kuwapachika majina ya utani "Nick names" wachezaji hasa wa Simba au Yanga lakini baada wakihama huacha kuwaifa hivyo.
Siyo lazima kila mchezaji awe na nick name. Maana Sasa imekuwa kama ni mashindano kuwatungia majina ya utani wachezaji wa timu hizo.
Mnazingua. Acheni hizo mambo.
Halafu..!!!Sgr janã kawatoa udendaaaaa
Halafu ikawa halafu...mbona mna makasiriko Sana na kushinda mmeshinda!?Halafu..!!!
Hakuna anayekasirika kwa kushindaHalafu ikawa halafu...mbona mna makasiriko Sana na kushinda mmeshinda!?
Kutoka magoli 8 mliyosema mtawafunga simba hadi kulilia magoli ya Offside ? Taratibu moto umeanza kukata na kosi lenu la vibabu.Simba waangaliwe kwa umakini maana wanaweweseka wanataka wamlaumu refa ila wakikumbuka Kawabeba Chuma nne wanaishia kusema "hatuna Cha kuwadai"
AZAM WANA MAJINA YA KIHUNI:-Yaani Shabaan Juma akiwa Yanga walimwita "Waziri wa maji" alipohama tu wakaacha kumwita.
Leo hii lile jina la "Triple C Mwamba wa Lusaka" washaacha kumwita tena Cloutus Chama.
Imekuwa kama ni kawaida watangazaji wa Azam kuwapachika majina ya utani "Nick names" wachezaji hasa wa Simba au Yanga lakini baada wakihama huacha kuwaifa hivyo.
Siyo lazima kila mchezaji awe na nick name. Maana Sasa imekuwa kama ni mashindano kuwatungia majina ya utani wachezaji wa timu hizo.
Mnazingua. Acheni hizo mambo.