Azam anapita njia ngumu CAFCL, atatoka hatua ya awali

Azam anapita njia ngumu CAFCL, atatoka hatua ya awali

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Azam wana team nzuri, wamemsajili vizuri sana, nilidhani watafuzu hizi hatua ila kila nikiangalia naona anaangukia pua

Azam hatua ya awali wamepangwa na mbambe APR ya Rwanda, hii ni team ngumu haswa, wana uchumi mzuri, wana wachezaji wakubwa hasa.

Kuna yule Mghana na dogo Fulani beki ni wachezaji wazuri mno,

Azam wanaanzia nyumba ambapo hawana nguvu ya mashabiki hapo ARR watakuwa comfortable kupiga kandanda, na baadae wanatenda kumalizana Rwanda hapa Azam wanatoboa vipI?

Wakitoka hapo wanatenda kukutana na Pyramid matajiri wa Misri team ya Mayele, hapo ndo ya makundi wataisikia kwenye redio

Azam nawapa pole mapema
 
Azam ameenda kusalimia tu clabu bingwa wakiambiwa wasiende wanajifanya wamekuwa wakubwa sasa acha wabatizwe kwa chuma cha moto hapo inatumika amri ya kumi na sita ya shetani ambayo inasema "Usihurumie kiumbe ambacho haujakiumba".

Namimi sina chakuongeza nasema hivi acha wapelekewe moto .
 
Azam ameenda kusalimia tu clabu bingwa wakiambiwa wasiende wanajifanya wamekuwa wakubwa sasa acha wabatizwe kwa chuma cha moto hapo inatumika amri ya kumi na sita ya shetani ambayo inasema "Usihurumie kiumbe ambacho haujakiumba".

Namimi sina chakuongeza nasema hivi acha wapelekewe moto .
Ila bora hata ya Azam walau nategemea wataonesha ushindani na pia kujitutumua. Coastal union ni 🚮 ya sumu ya kutupa mbali kabisa.

Hawana kabisa sifa ya kushiriki kombe la shirikisho.
 
Back
Top Bottom