Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha, ubora utaamua naamini wamejipanga nje na ndaniNa kweli APR ni timu ya jeshi nimesahau hilo
Wanapata sare Chamazi, wanaenda kutolewa RwandaHahahahaha, ubora utaamua naamini wamejipanga nje na ndani
Hahahahaha, dar wamekuja na usafiri gani sasa au Arusha kisha wakapanda ndege nyingine?Wanapata sare Chamazi, wanaenda kutolewa Rwanda
Unaambiwa APR wametua Arusha hawajatumia Airport ya Dar, sijui intelejensia Yao imegundua Nini,
APR wapo serious nadhani mtaani hili neno baada ya game
Hahahahaha wanaleta ujeshi na Intel ya kigali ktk Soka ?Wametumia bus kuja dar
Akipiga miuno asitudolishie naniliu......😅😅
Unataka kumaanisha Nini mrembo
Angetoboa pua labda avae kipindi maana hereni tayari wanavaaKwani simba angekutana na pyramid kwa kikosi iki angetoboa?
Hahahaha bro.
Utopolo walishatoka sana kwenye hatua ya kukutana na wababe kwakua tayari yupo nafasi ya 13 haitakaa akakutana na timu yoyote ambayo ipo juu yake kwenye hatua ya mtoanoNilitamani Utopolo ipitie njia hii
Ili uondokane na hiyo njia lazima umpasue aliye bora zaidi yako na kusonga mbele. Yanga hiyo njia wameshaivuka wapo kwenye kuteremka tu sasa. Azam wanatakiwa hivyo vigingi avivuke kisha aingie makundi misimu miwili mfululizo atakuwa na yeye anateremka tu wenzie Simba na Yanga.Nilitamani Utopolo ipitie njia hii
Binafsi sioni kama piramidy wanatisha kihivyo! Japo sio shabiki wa AzamMechi ya APR ni nyepesi kwa Azam, kwa Pyramids wakikaza wanafuzu
Hapo wanakosea sana unalipia vifurushi bei utafikiri siku wanaonyesha mpira wanagawa na chakula. Ni vema wa husika waka ingilia kati hili kuwe na ushindani wa kuonyesha ligi yetu isiwe wao pekee. Vinginevyo manunguniko ya wateja siyo mazuri hadi mnapangiwa timu vigogo hatua ya awali si bure.Napenda azamu afungwe.maana wanatupandishia Kila siku vifurushi vyao.
Nilikuwa naliongelea Leo HiloAzam wana team nzuri, wamemsajili vizuri sana, nilidhani watafuzu hizi hatua ila kila nikiangalia naona anaangukia pua
Azam hatua ya awali wamepangwa na mbambe APR ya Rwanda, hii ni team ngumu haswa, wana uchumi mzuri, wana wachezaji wakubwa hasa.
Kuna yule Mghana na dogo Fulani beki ni wachezaji wazuri mno,
Azam wanaanzia nyumba ambapo hawana nguvu ya mashabiki hapo ARR watakuwa comfortable kupiga kandanda, na baadae wanatenda kumalizana Rwanda hapa Azam wanatoboa vipI?
Wakitoka hapo wanatenda kukutana na Pyramid matajiri wa Misri team ya Mayele, hapo ndo ya makundi wataisikia kwenye redio
Azam nawapa pole mapema
Leo coastal kaliwa chuma tatu kwa bure. Mwisho wa safari huo.Azam hawatoboi kama coastal tu