Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Club sport villa ya Uganda, au timu ya kutoka Ethiopia. (Jina nimelisahau). Na dalili inaonesha atakutana na hiyo timu ya Ethiopia. Maana hiyo Villa imefungwa nyumbani kwenye mechi ya awali.Hivi Yanga akiwatoa Vitalo, atakutana na nani?
Ukishakuwa giant kwenye mashindano ya CAF unalindwa Sheikh.