Azam anapita njia ngumu CAFCL, atatoka hatua ya awali

Azam anapita njia ngumu CAFCL, atatoka hatua ya awali

Nilitamani Utopolo ipitie njia hii
Yanga amepita njia hii pia.

Mwaka jana hatuaza awali alikutana na Al merreikh, wakati mwaka juzi alitolewa na ndugu yao Al hilal.

Check makundi, Yanga alikutana na vigongo kwenye kundi CR belouzdad na Al hilal na wanafuzu 02.

Kinachosaidia Yanga kwasasa ni kuvuna points shirikisho.

Kinachosaidia Simba ni kuvuna points nyingi kwa vitimu vya De agosto, horoya, Villa etc

Azam hawana point hata moja CAF wanazidiwa na Namungo Wana point moja.

mwaka jana, Azam wametolewa na kitimu cha Ethiopia shirikisho kwa ujinga tu, wakati walipaswa wavune points shirikisho ili wakae vizuri.

kanuni za CAF usipokuwa na points unakutana vigogo maana unaonekana kibonde
 
Nimecheki game ya coastal aise yani wamecheza utumbo kabisa.

Kwanza hawana stamina wanaangukaanguka hovyo uwanjani .game plan mbovu huoni wakitafuta goli japo kunamuda kipindi cha pili walitulia kidogo wakaanza kutafuta goli ila sasa wakajisahau wakapigwa cha tatu.

Kiufupi hao wameenda kuliaibisha taifa hakuna lolote wao warudi waendelee kumkamia simba tu .
Kama wachezaji wa Tabora United, wachezaji hawana stamina kabisa, wanaangukaanguka tu uwanjani
 
Back
Top Bottom