Azam anapita njia ngumu CAFCL, atatoka hatua ya awali

Wanapata sare Chamazi, wanaenda kutolewa Rwanda
Unaambiwa APR wametua Arusha hawajatumia Airport ya Dar, sijui intelejensia Yao imegundua Nini,
APR wapo serious nadhani mtaani hili neno baada ya game
Hahahahaha, dar wamekuja na usafiri gani sasa au Arusha kisha wakapanda ndege nyingine?
 
Nilitamani Utopolo ipitie njia hii
Ili uondokane na hiyo njia lazima umpasue aliye bora zaidi yako na kusonga mbele. Yanga hiyo njia wameshaivuka wapo kwenye kuteremka tu sasa. Azam wanatakiwa hivyo vigingi avivuke kisha aingie makundi misimu miwili mfululizo atakuwa na yeye anateremka tu wenzie Simba na Yanga.
 
Napenda azamu afungwe.maana wanatupandishia Kila siku vifurushi vyao.
Hapo wanakosea sana unalipia vifurushi bei utafikiri siku wanaonyesha mpira wanagawa na chakula. Ni vema wa husika waka ingilia kati hili kuwe na ushindani wa kuonyesha ligi yetu isiwe wao pekee. Vinginevyo manunguniko ya wateja siyo mazuri hadi mnapangiwa timu vigogo hatua ya awali si bure.
 
Nilikuwa naliongelea Leo Hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…