Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Al jazeera ya tanzania 🤣🤣🤣Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Muwekee contact na kituo mkuu. December hii hayo mambo ni mazuriiiAcha malalamiko..umeshakunywa bia? Sogea kijiwe tunywe bia
Ni sawa na ulazimishe habari za kuwapendelea wayahudi Al jazeera 🤣🤣🤣Tusilazimishe Xmass wishes huko Azam ingawa Dstv kila kona FATHER CHRISTMAS YUPO MPAKA MATANGAZO YA TUITION UNAMUONA
Aisee huwezi enjoy.Ni sawa na ulazimishe habari za kuwapendelea wayahudi Al jazeera 🤣🤣🤣
Shule zimefungwa mkuu usishangae sana. huyu kakwapua simu ya baba yake lazimaKuna umuhimu Jamii forum kuweka interview kwa wanachama wake....maana hata hili pia nalo kaja kufungulia Uzi..... Masikini ana roho mbaya Sana kwa matajili
Kwa hawa waswahili wa Tandale hilo walijuiMkuu Hakuna udini kwenye kumtaja Maria kwa sababu kuna msikitini upo UAE nahisi uko Abu dhabi unaitwa Msikiti wa Mary mother of jesus..
Na kwenye Quran kuna Sura ya Mariam nzima kabisa..
View attachment 2838657
View attachment 2838658
Labda dish la mmeo ndilo limeyumba, mambo ya msingi kwako sio ya msingi kwanguMtoa mada nadhani kidogo dishi limeyumba, yaani uumie kisa mwandishi amekosea kutaja jina la kanisa? Like seriously??? Kwenye maisha haya yenye shida na Karaha lukuki bado mtu ujiongezee stress za kutajwa jina la kanisa? Alafu then inakusaidia nini kwenye maisha yako? Ifike kipindi tuwe serious kwenye mambo ya msingi yanayotuletea tija.
Swala sio kutaja dini bali kushindwa kusoma kiswahili makusudiHizo dini kwani zina faida gani?
Mimi mwenyewe nikisalimiwa "Assalam alekum" huitika salama kwa sababu sina mazoea nayo.
Sasa ukiona mtu kashindwa kutaja jina la dini isiyo yake basi usishangae.
Mkuu waislamu wote wanamuheshimu MariaKwa hawa waswahili wa Tandale hilo walijui
Rahisi kwa nani babu!!?..kadinali pengo anaweza kusema inna Lillah wa inna ilaihiyir raajiun!?Unaijua tasnia ya habari hata kwa bahati mbaya,
Yani news anchor ashindwe kutamka maneno rahisi namna hiyo ?...
Hata hivyo binafsi yangu siwezi kuchukulia vitu kama hivyo serious ila kama mtangazaji alishindwa kutamka maneno rahisi hivyo bhasi Azam kuna walakini kwenye hiring process yao
Imeathiri vipi imani yako?Swala sio kutaja dini bali kushindwa kusoma kiswahili makusudi
Unawezaje kuandika usichoweza kukisoma?Hizo dini kwani zina faida gani?
Mimi mwenyewe nikisalimiwa "Assalam alekum" huitika salama kwa sababu sina mazoea nayo.
Sasa ukiona mtu kashindwa kutaja jina la dini isiyo yake basi usishangae.
Naunga hojaa....humu kuna vituko mnoooKuna umuhimu Jamii forum kuweka interview kwa wanachama wake....maana hata hili pia nalo kaja kufungulia Uzi..... Masikini ana roho mbaya Sana kwa matajili
Si unagalie Agape Mkuu wa ile TV ya mzee wa upako.Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.