Azam, Azam Udini utawaharibia

Azam, Azam Udini utawaharibia

Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Ingekuwa Udini angeweka
channel za kikristo kwenye king'amuzi chake?
 
Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Mm nafamilia yangu na ukoo wetu wote tuko DSTV. yaaani sitokiii.
 
Ila upande wa Tv Azam hawana udini aisee mi naweza nikakutajia majina ya wakristo pale hadi ukachoka kuanzia asubuhi hadi jioni
Huyo labda kakosea kutokana na uwezo wake mwenyewe wa kuelewa mambo ila udini hapana Azam wakristo wengi sana
1.Hilda Foya
2.Mercy
3.Ivona
4.Tido
5.kale kajamaa kanatangaza na Foya
6.Paschal kabombe
Ni wengi sana kina Nyembela
ongezea hapo Gwalugano Mwakalobo. Gilbert Yohanes n.k
 
Ila upande wa Tv Azam hawana udini aisee mi naweza nikakutajia majina ya wakristo pale hadi ukachoka kuanzia asubuhi hadi jioni
Huyo labda kakosea kutokana na uwezo wake mwenyewe wa kuelewa mambo ila udini hapana Azam wakristo wengi sana
1.Hilda Foya
2.Mercy
3.Ivona
4.Tido
5.kale kajamaa kanatangaza na Foya
6.Paschal kabombe
Ni wengi sana kina Nyembela
7. Baraka mpenja
8. Aidan Samuel
9. mkenya wa matangazo ya kiingereza ya mpira
10. Daniel bandezu
11. Mdada wa sinemeka
12. Mzee wa masumbwi MC yule
13.,..,..

Nimechoka kutajà.
 
Rahisi kwa nani babu!!?..kadinali pengo anaweza kusema inna Lillah wa inna ilaihiyir raajiun!?
Kardinali pengo ni muandishi wa habari mkuu??..

Halafu hayo maneno mbona mepesi kama umeishi kwenye jamii za kiislamu. Maana kila msiba lazma uyasikie au na yenyewe yanahitaji ukasome madrasa ili uyajue
 
Mmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......
Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Mkuu Hakuna udini kwenye kumtaja Maria kwa sababu kuna msikitini upo UAE nahisi uko Abu dhabi unaitwa Msikiti wa Mary mother of jesus..
Na kwenye Quran kuna Sura ya Mariam nzima kabisa..
Ndg Gulwa uwezo wako kwenye masuala ya kidini na kiimani bado ni mdogo sana!
Kuna vingi huvijui!
 
Rahisi kwa nani babu!!?..kadinali pengo anaweza kusema inna Lillah wa inna ilaihiyir raajiun!?
Uwezo wako kwenye masuala ya kidini na kiimani ni mdogo sana.
Hayo ni maneno ya Kiarabu si ya Kiislamu. Na wapo wakristo wengi tu wanayasema na kuyaandika!

Tofautisheni lugha, imani na dini!
 
Kardinali pengo ni muandishi wa habari mkuu??..

Halafu hayo maneno mbona mepesi kama umeishi kwenye jamii za kiislamu. Maana kila msiba lazma uyasikie au na yenyewe yanahitaji ukasome madrasa ili uyajue
Mkuu hasichojua huyo ni kwamba hayo maneno ni ya Kiarabu. Wapo waarabu wakristo na wengineo wasio waislamu wanayatamka hayo na kuongea Kiarabu kumliko!
 
Ila upande wa Tv Azam hawana udini aisee mi naweza nikakutajia majina ya wakristo pale hadi ukachoka kuanzia asubuhi hadi jioni
Huyo labda kakosea kutokana na uwezo wake mwenyewe wa kuelewa mambo ila udini hapana Azam wakristo wengi sana
1.Hilda Foya
2.Mercy
3.Ivona
4.Tido
5.kale kajamaa kanatangaza na Foya
6.Paschal kabombe
Ni wengi sana kina Nyembela
Hata kwenye management KTM eaters ni wengi.
 
We jamaa utakuwa umeishi kwenye bandari ya kakuma
 
Back
Top Bottom