Azam Confederation Cup, Yanga VS Coastal Union 24:04:2016

tff ni 'jecha' ...
 
Unauhakika kuwa mpira umeisha
 
Kuna watu wananitusi,ukweli uwazi Yanga ni timu mbovu haistahili.Yanga ndiye mchawi wa soka la bongo.
 
Hivi wewe unajua unachokisema kweli?
Hivi kwanini mnapenda kujidai wajuaji wakati hamjui chochote?
Ungesoma hata heading basi.....

Mashabiki wa Simba mna stress sana sipatii picha huko majumbani kwenu hali ikoje.

Kwa kukuonea huruma tu,hili ni kombe la ASFC na waandaaji/wadhamini ni Azam.
 


Duh, huyu Ndugu huyu ana hasira sana... Utalopoka??!!>>>>>>>utaropoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…