Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,676
- 4,693
Kwa misimu mingi klabu ya Azam FC inahangaika sana kupata kocha atakayeifanya Azam iwe klabu tishio uwanjani.
Kwa maoni yangu kuna makocha wawili wazawa ambao wakipewa hii timu ya Azam wanaweza kuiletea mafanikio makubwa sana.
1. Fred Felix Minziro "Kataraiya Majeshi Baba Isaya"
Minziro ni moja ya makocha bora sana kwa sasa kwenye ligi yetu ya NBC. Akipewa timu ya Azam na wachezaji waliopo kwa sasa anaweza kufanya "kitu cha kuonekana".
2. Meck Mexime
Mexime ameibadilisha Kagera sugar kwa kipindi kifupi sana na "ameifufua".
Azam FC nawashauri Januari hii mpeni timu mmoja wa makocha hao. Lakini pia itakua faida kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao 23/24 maana msimu huu wa 22/23 tayari mmeonekana kufeli pakubwa.
Kwa sasa Azam haina kocha anayemzidi uwezo Minziro wala Mexime.
Kwa maoni yangu kuna makocha wawili wazawa ambao wakipewa hii timu ya Azam wanaweza kuiletea mafanikio makubwa sana.
1. Fred Felix Minziro "Kataraiya Majeshi Baba Isaya"
Minziro ni moja ya makocha bora sana kwa sasa kwenye ligi yetu ya NBC. Akipewa timu ya Azam na wachezaji waliopo kwa sasa anaweza kufanya "kitu cha kuonekana".
2. Meck Mexime
Mexime ameibadilisha Kagera sugar kwa kipindi kifupi sana na "ameifufua".
Azam FC nawashauri Januari hii mpeni timu mmoja wa makocha hao. Lakini pia itakua faida kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao 23/24 maana msimu huu wa 22/23 tayari mmeonekana kufeli pakubwa.
Kwa sasa Azam haina kocha anayemzidi uwezo Minziro wala Mexime.