Azam FC mtoeni Dube kama mlivyomchukua Fei

Azam FC mtoeni Dube kama mlivyomchukua Fei

Hizi hazifanani mkuu Yanga waliludisha Azam wao wanataka pesa dube awe huru aondoke Yanga wao walikuwa wanataka mchezaji ila syo pesa huoni ni vitu viwili tofauti ?? Mkuu
Mkataba wa Yanga kwa Fei na Azam kwa Dube ilikuwa tofauti. Fei alikwama kwa kuwa mkataba wake haukuwa kurudisha TU fedha ili kuvunjika na mkataba wa Dube ni kurudisha TU fedha na kuondoka. Hivyo ni mikataba 2 tofauti.
 
Sasa tukubaliane Rais asipoingilia kati wewe ndio mjinga ,na Rais akiingilia kati mimi ndio mjinga,wanaume atuongei sana.
Dube kashaondoka au ulitaka uone na kusikia Rais aseme hadharani ndio ujue ameingilia? Dube sio mjinga kusema thank you to Azam fans kama asingekuwa na uhakika. Na sio lazima Azam waseme thank you kwenye media. Deal done.
 
Kwani nyie yanga mlisema ni kiasi gani kilipwe ili mkataba uvunjwe?
Fei aliwalipa pesa mliyoisema kwenye mkataba lakini mkazidi kuwa ving'ang'a
Yanga ni wajanga kuliko Azam, Yanga haikuwa kulipa fedha TU Bali hata namna ya kulipa ilikuwa sehemu ya mkataba wenyewe. Ndio maana dogo alinasa pamoja na kupewa hela.
 
Bongo kwa ujuaji nimewashindwa aiseee 😂😂😂😂
Mkuu hio hapa ni sheria gani umetumia 🤔 release clause ya Vini Jr ni €1B, kwa hio Vin Jr analipwa €333M kwa mwezi ? 🤔😂😂😂😂 Acha kunywa kahawa na wazee kijana watakupotosha 😂😂😂😂
Achana na vini Jr wa viwanja vya mbele huko ambalo Kuna high quality wachezaji na high purchasing power. Dube anacheza ndondo, Hana thamani ya US300,000.
 
Back
Top Bottom