Azam FC yaiokoa Simba na mashindano ya Shirikisho

Azam FC yaiokoa Simba na mashindano ya Shirikisho

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao

Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
 
Back
Top Bottom