Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
PoaLigi imeisha ndiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaLigi imeisha ndiyo
Wa kujifungaSimba bingwa
Hao jamaa wanaingaijeMuulize Chasambi na Kijili
Mkuu mimi huwa sibahatishiNakushauri badilisha kilevi unachotumia kwa sasa
We Hadi saivi uko mashindano ganiLeo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao
Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
TutaonaAnapigwa 5
Wew ni muhaTutabadilika tuache kuwafunga 5imba 5
ligi kuu tanzania bara inachezwa kwa makundi mkuu?Pole wewe ulieishia makundi
Utopolo bhanaLeo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao
Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
Halafu nyuma mwiko anashinda mechi zote zilizobaki si ndio?Mkuu shughuli bado mbichi
Simba anasare au kufungwa tena mechi nyingi zjazo
Umeandika kijinga sana.Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao
Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
Muoneee huruma..Nina tatizo la kutofika kileleni
Ni miezi takribani mitatu sifiki kileleni Nimekutana na baadhi ya wanawake kwa kipindi hiki chote lakini bado Ni hali ambayo inanisumbua ni heri uwahi kufika kileleni kuliko hili linalonipata Mwenye msaada au tiba nitagharimia kwa atakayeweza nasumbuka mnowww.jamiiforums.com
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unaweza kua unabishana na mtu kumbe mtu ana stress za kufika/kufikishwa kileleni ...nimeamua kuachana nae tu.Muoneee huruma..
Utopolo njoo uongee utumbo wako Tena.Tutabadilika tuache kuwafunga 5imba 5
Kiko wapi we pimbi....Wa kujifunga
Kwa hiyo bado mnasubiri droo ya robo fainali tarehe 20 Frbruari 2025? 🤣🤣🤣Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama