Azam FC yaiokoa Simba na mashindano ya Shirikisho

Azam FC yaiokoa Simba na mashindano ya Shirikisho

Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao

Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
We Hadi saivi uko mashindano gani
 
Wewe Ngara mtoni..Hao washenyentaji wenu hao sio hadhi yetu sisi hata nyie pia..ukitaka kujua hilo timu zote zilizijidai kushikilia bomba kwenda club Bingwa zimefurushwa kwa aibu kubwa...Simba ndo mkali wa hizo kazi..na tulishawaambia huku shirikisho sio kwetu..tulidondokea tuu huku ni kwa nyuma mwiko..
 

Attachments

  • 1739131417273.jpg
    1739131417273.jpg
    164.5 KB · Views: 1
 
Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao

Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
Utopolo bhana
 
Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao

Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
Umeandika kijinga sana.
 
Back
Top Bottom