Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tokea nyuma mwiko afikishwe kileleni na chasambi, haishi kumtaja.Muulize Chasambi na Kijili
Hayo mashindano ya kiume umeishia kugawa utamu kwa wenzio.Tofautisha group stage ya CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Mama ni wewe ambae unawekwa doggy style nyumbani kwako huku wanao wakishuhudia.Utamu si wanagawa wamama huko shirikisho
Wale ndo kina mama wenyewe. Vikundi wao, vitenge wao, mabango kama kina mama wanavyosutana na kanga wao. 100% Kina mama.Hawaviki hata huko huko kwenye mashindano ya akina mama malipo nyie
Utopolo ni utopolo tu hata azaliwe ulaya.Futa machozi yatapita😂
Una huzuni nzito koloUtopolo ni utopolo tu hata azaliwe ulaya.
-Aliyesema nyuma mwiko atafika fainali champions League ni utopolo
-Aliyesema kocha fadlu Davis hafiki x mass ni utopolo.
-Sasa hivi nyuma mwiko Yuko kileleni Kwa tofauti ya point moja, na bado anajiona ndo ameshabeba ubingwa.
Kwasababu ni utopolo, hawezi kubadilika hata angezaliwa ulaya.
Mwite "uto" au unaweza kumwita "nyuma mwiko" mla mihogo, mbumbumbu fc, lakini utopolo itafaa zaidi.
Fikieni rekodi za wanaume, kwasababu hiyo ndo kawaida yenu.
Simba Nguvu mpya💪
Nakushauri badilisha kilevi unachotumia kwa sasaMkuu shughuli bado mbichi
Simba anasare au kufungwa tena mechi nyingi zjazo
Wewe akili yako finyu mno. Ligi bado mbichi unatoa wapi ujasiri wa hizo conclusions? Unaongoza kwa point mojab tuu tayari umeshakuwa bngwa!Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao
Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
Utopolo ana uhakika maana keshawanunua hao vitimu mbugila wote anapewa magoli kama yote, halafu yanachekelea kana mazuzuNakushauri badilisha kilevi unachotumia kwa sasa
Muamala fcHuyo JKT anapigwa goli 5
Tunawakumbusha tu ujinga wenu, tuna Imani labda siku moja mtabadilika.Una huzuni nzito kolo
Lia kidogo nyamaza yatapita
Kwa hiyo ligi imeisha Leo??Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji
Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao
Karibu tena Simba CAFCL tokeni huko shirikisho kwenye mashindano ya akina mama