JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
All the best Feisal, fainali wampe nafasi acheze na awatungue Yanga hata goli moja
Mkuu ule muhamara uliomtumia Fei,haurudi ng'oo na kesho naubetia Kwa kuwapa Simba wapate goli 4.5Tumeshajua dawa ya uto ni wali maharage, baada ya hapo wanalegeeea
Pilau harage haujawahi kumuacha mtu salama, utopolo utopolo tu hata wakashinde CAFTumeshajua dawa ya uto ni wali maharage, baada ya hapo wanalegeeea
Ule muhamara uliomrushia Fei haurudi ng'oooPilau harage haujawahi kumuacha mtu salama, utopolo utopolo tu hata wakashinde CAF
Hatutaki lawama baadaeKikubwa asome vyema mkataba ikiwezekana wauandike kwa kipemba asome mstari kwa mstari...
Mbona haraka sana? Mkataba kausoma au anataka aje asumbue watu baadae.Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.
“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”
Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC
Sikumpa hata senti. Nilivyomsikia akisema alitishwa atarudishwa Pemba nikajua hii shughuli ishaisha....huko CAS bado aende kuweka rekodi sawa hasa uhuni wa TFF.Mkuu ule muhamara uliomtumia Fei,haurudi ng'oomna kesho naubetia Kwa kuwapa Simba wapate goli 4.5
Huyo mwenye nyeupe km vile ndie mchezaj
Mhh,basi itakuwa Scars huyoSikumpa hata senti. Nilivyomsikia akisema alitishwa atarudishwa Pemba nikajua hii shughuli ishaisha....huko CAS bado aende kuweka rekodi sawa hasa uhuni wa TFF.