Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau na kachumbariTumeshajua dawa ya uto ni wali maharage, baada ya hapo wanalegeeea
Wadada masuala ya mpira yanawapiga chenga sanaAll the best Feisal, fainali wampe nafasi acheze na awatungue Yanga hata goli moja
Aahahaaaa
Mnahela?Mama waalike tena ikulu uwape wali arage,simba tunamtaka mayele[emoji1787]
Una akili timamu wewe?, Kutoka 100M mpaka 270m yanga ndio wameufyata?.Hatimaye Utopolo Wameupyata Mkia. Ubwabwa na Juice ya Ikulu imewaponza.
Tulisema wapi!!Si mlisema mnataka bilioni
Za ndani kabisa hizi Dogo...sijazipata popote...Mmewaita Azam ili ionekane mme mmuza akat ametoka km vile akivyotakaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti dau haliwekwi wazi, ni 112M woiiiiiiii
Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.
“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”
Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC
Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.
“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”
Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC
Mbona hawakusign iv kipindi kile wamerudisha M112 account ya Yanga kumbe walikua wanajua kuwa ni Makosa
Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.
“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”
Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC
Jinga sana cheki linvyooneshwa sehemu ya kusaini na hapo usikute linasainishwa bila kusoma na kuupitia mkataba kwa umakini
Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.
“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”
Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC
Kama una akili timamu soma hapa msimamo wa Hersi na kilichofanyika, kisha lete majibu yeye mantiki na si kupayuka kama hoi ya meli.Una akili timamu wewe?, Kutoka 100M mpaka 270m yanga ndio wameufyata?.
Pilau la ikulu tu limelimeza manenoSi mlisema mnataka bilioni
Kwahiyo kavunja mkataba yeye au yanga imemuuza?. Una utahira Bata wewe.Kama una akili timamu soma hapa msimamo wa Hersi na kilichofanyika, kisha lete majibu yeye mantiki na si kupayuka kama hoi ya meli.View attachment 2650201
Sasa hapo unamuliza nani? mbona tofauti na nivyokuuliza..! Ama kweli mjinga siku zote hafichi ujinga wake, Punguani Maluunina أنت من إنتاج الفرعون ، دعني وشأنيKwahiyo kavunja mkataba yeye au yanga imemuuza?. Una utahira Bata wewe.
una uhakika na wenyewe Azam Fc hawajakudharau? Usikute mnadharaulianaAzam fc nilikuwa nawapa sana credit. Ila kwa uhuni walioufanya kwa huyu dogo na pia kwa klabu ya Yanga; hakika nimewadharau sana.
Maana wangetumia njia kama hii ya mazungumzo, wala huyu dogo asingekaa miezi 6 nje ya uwanja.