Azam FC yamtambulisha FEI TOTO, asaini mkataba wa miaka mitatu, afafanua fedha alizochangiwa na wadau

Azam FC yamtambulisha FEI TOTO, asaini mkataba wa miaka mitatu, afafanua fedha alizochangiwa na wadau

Mmewaita Azam ili ionekane mme mmuza akat ametoka km vile akivyotakaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti dau haliwekwi wazi, ni 112M woiiiiiiii
Za ndani kabisa hizi Dogo...sijazipata popote...
Kwamba ikoje eti?
 
Kwani si alizitumia kuistaki tff cas au nilisikia vibaya!! Hizohizo tena zinaenda msikitini,kanisani? Au zilizoenda cas nyingine na zilizokuwa zinachangwa ni nyingine? Tanzania 🇹🇿 yangu mie jamani
 


Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.

“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”

Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC




Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.

“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”

Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC

Azam ndio walikuwa wanamrubuni huyu mtoto…ila mchezo walikuwa wanaucheza gizani
 


Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.

“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”

Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC

Mwanasheria wake yuko??asije sema haelewi kiingereza huko mbeleni.
 


Mara baada ya kutambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa #AzamFC, Feisal Salum (Fei Toto) amesema fedha ambazo alichangiwa wakati wa sakata lake la kimkataba dhidi ya #Yanga, atazipeleka Msikitini, Kanisani na kwa Watoto Yatima.

“Namshukuru Rais Samia kwa kulimaliza hili jambo, nawashukuru viongozi wa Yanga na mashabiki wake, pia kuhusu zile fedha ambazo nilichangiwa siwezi kuzirudisha kwa waliotuma kwa kuwa siwafahamu hivyo nitapeleka kwa watu wenye uhitaji.”

Mara baada ya kutambulishwa Fei Toto na kusaini mkataba wa miaka mitatu, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo atakuwa anaivaa akiwa Azam FC

Kila laheri 'shujaa' Feisal..💪💪💪
 
Una akili timamu wewe?, Kutoka 100M mpaka 270m yanga ndio wameufyata?.
Kama una akili timamu soma hapa msimamo wa Hersi na kilichofanyika, kisha lete majibu yeye mantiki na si kupayuka kama hoi ya meli.
JamiiForums-770296258.jpg
 
Amesajoliwa na Waswahili, timu inaendeshwa kienyeji, mchezaji amesajiliwa bika kufafanyiwa vipimo vya mwili na afya
 
Kwahiyo kavunja mkataba yeye au yanga imemuuza?. Una utahira Bata wewe.
Sasa hapo unamuliza nani? mbona tofauti na nivyokuuliza..! Ama kweli mjinga siku zote hafichi ujinga wake, Punguani Maluunina أنت من إنتاج الفرعون ، دعني وشأني
 
Azam fc nilikuwa nawapa sana credit. Ila kwa uhuni walioufanya kwa huyu dogo na pia kwa klabu ya Yanga; hakika nimewadharau sana.

Maana wangetumia njia kama hii ya mazungumzo, wala huyu dogo asingekaa miezi 6 nje ya uwanja.
una uhakika na wenyewe Azam Fc hawajakudharau? Usikute mnadharauliana
 
Back
Top Bottom