Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kwa taarifa,Simba safiKadi ni ya halali, jamaa alivyoingia hakuonyesha nia ya kuutaka mpira ila kumhamisha mtu.
Na dka 15 za mwanzo kabla ya kadi Azam walikuwa wamezidiwa na dk ya nne tu wakapewa ya njano...
Mpaka sasa Simba wamemiliki game kwa kiasi kikubwa...
Mmmmmh huyu Mtangazaji wa leo kiboko,haya uendelee hivi hivi mama hadi mwisho wa mchezoNamna gani paleeeeee? Damn! Azam wamekosa bao la wazi kabisa.
Kama mlivyoupata kwa Mwarabu kule,twende kaziMimi sio mwenzio wa malalamiko FC,mezani FC mkuu.
Malalamiko kwetu mwiko,mpira unadunda na ushindi tunaupata uwanjani sio mezani [emoji4]
MmmeanzaMuamala fc washamalizana na huyu refa nje ya uwanja,hapa wanatuzuga tu
Alipiga shuti zuri, bahati ukapaa kidogo kwenye mtambaa wa panya.Mavugo kakosa goli la wazi kabisa pale
Umeona eeeh,wivu tu.Mmmeanza
Ari ya kutangaza imeshuka [emoji4]Mmmmmh huyu Mtangazaji wa leo kiboko,haya uendelee hivi hivi mama hadi mwisho wa mchezo
Thanks for Information mkuu...wengine tupo safarini muda huu..team mnyamaaaaAlipiga shuti zuri, bahati ukapaa kidogo kwenye mtambaa wa panya.
Pamoja sana kiongoziThanks for Information mkuu...wengine tupo safarini muda huu..team mnyamaaaa