Azam federation cup: Simba Sc yainyuka Azam bao 1-0 na kutinga fainali

naona Azam wemekubali Matokeo, dakika ya 89 mambo ni yaleyale.
 
Kumbe una roho mbaya hivi mkuu. Umenikumbusha mbunge wa zamani wa mikoa ya kusini na mfano wake wa nyoka wa mdimu/mdimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe unapenda kuona Yanga ikishinda? Tuanzie hapo.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] John Boko bwege Kweli badala ya kucheza mpira anaomba penati
 
Kosakosa 2 ktk goal la simba.
Kama sio umahiri wa golikipa wa Simba yangekuwa mengine sasa.
 
dakika ya 94 kwenda 95 kipa wa Simba yupo chini anagaagaa pale.
 
Wakuu wote mliotoa info za kutosha mwanzo mpaka mwisho wa game nawapa heshima sana, Kesho nawaomba msisite kutuhabarisha hah hah japo itakuwa ngumu kumeza na hamtaamini kitakachotokea 🙄🙄
 
Dakika zimeisha tunasubiri filimbi ya Refa.
Anagangwa gangwapale kipa wa Simba kwa kupoteza muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…