Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji108][emoji108][emoji123]Heshima kwako Sir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji108][emoji108][emoji123]Heshima kwako Sir
[emoji23][emoji23][emoji23]Inakutu sana hailipi....
Jahazi limezamaMtani Sapta Sapta sogea uone leo tunavyoizima ile kauli ya "KAMWENE"
Mhehe anatafuna Mbwa unategemea atashindwa Chura?
Acha hizo basiii Man u ni ya kuifananisha na kanda mbili kweli???Man u = yanga
Hodi hodi humu jamani, haya wenyeji wangu kuna usalama kweli hapa 😆 maana naona nyuso za huzuni kwani kuna nini kimetokea? 😃Maana wakati naja hapa ile nyumba pale kona kwa mzee Kifunde nimesikia akina Mama pamoja na akina Baba wakitaja taja KAMWENE KAMWENE sasa nimeshindwa kuelewa wana maana gani wale, haya vipi wenyeji wangu kunani hapa? 😜😜😜😜😜😜😜Mtani Sapta Sapta sogea uone leo tunavyoizima ile kauli ya "KAMWENE"
Hili neno kwetu sisi wanamichezo ni neno la kawaida linaloelezea udhaifu katika mbinu za mwalimu. Haiwezekana timu ipigishwe puli mara mbili habadili mbinuMkuu utaitwa uhojiwe pale jangwani la sivyo ufute hilo neno DHAIFU
KamweneMhhhh
KamweneMtani Sapta Sapta sogea uone leo tunavyoizima ile kauli ya "KAMWENE"
Hawara hana talaka.Hawara hatongozwi