Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Ujanja ujanja una mwisho wa Aibu.
Yanga ni Aibu
Yanga ni Aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaYanga wamebugizwa ulanzi mdindifu debe mbili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]#ASFC:Mpira umemalizika kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. ...@YangaSCTanzania wanatupwa nje ya mashindano, na Lipuli FC wanatinga fainali..
Kwa matokeo haya, Lipuli sasa watakutana na Azam FC kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi.
FT: Lipuli FC 2-0 Yanga SC.View attachment 1089751
hahahaMhehe anatafuna Mbwa unategemea atashindwa Chura?
ndi mnofwelaKA MWENE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]Leo nimefurahi sanaaaa
Na nitalala saaa 8. Usiku
Nitajaribu na
Kuionja Bia
Safari
Heshima kwako Sir[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Inakutu sana hailipi....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Yanga wamebugizwa ulanzi mdindifu debe mbili.
itikia sasa ,mnogageMtani Sapta Sapta sogea uone leo tunavyoizima ile kauli ya "KAMWENE"
Mkuu utaitwa uhojiwe pale jangwani la sivyo ufute hilo neno DHAIFUIngekuwa tunatumia lugha ya kikaguzi wa mahesabu na shughuli za kampuni au serikali, tungeita YANGA hii ni DHAIFU.
Leo YANGA wametolewa kombe la FA na pia Jumatano wanaondolewa kwenye usukani wa ligi kuu bara TPL.
Anyway kila mmoja atavuna alichopata kwani mpira ni uwanjani sio mdomoni