Azam Federation Cup: Yanga yatupwa nje ya mashindano baada ya kutandikwa magoli 2-0 na Lipuli

Azam Federation Cup: Yanga yatupwa nje ya mashindano baada ya kutandikwa magoli 2-0 na Lipuli

Ingekuwa tunatumia lugha ya kikaguzi wa mahesabu na shughuli za kampuni au serikali, tungeita YANGA hii ni DHAIFU.

Leo YANGA wametolewa kombe la FA na pia Jumatano wanaondolewa kwenye usukani wa ligi kuu bara TPL.

Anyway kila mmoja atavuna alichopata kwani mpira ni uwanjani sio mdomoni
 
#ASFC:Mpira umemalizika kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. ...@YangaSCTanzania wanatupwa nje ya mashindano, na Lipuli FC wanatinga fainali..

Kwa matokeo haya, Lipuli sasa watakutana na Azam FC kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi.

FT: Lipuli FC 2-0 Yanga SC.View attachment 1089751
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Leo nimefurahi sanaaaa
Na nitalala saaa 8. Usiku
Nitajaribu na
Kuionja Bia
Safari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Heshima kwako Sir
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji108][emoji123][emoji108][emoji108]
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
Nanunua yanga mbovu na dola chakavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Inakutu sana hailipi....
 
Hili swali liliulizwa kipindi kile

Hivi ni nini maana ya neno LIPULI? Haina maana ya PULI kweli.

Naona mtu kapigishwa
 
Ingekuwa tunatumia lugha ya kikaguzi wa mahesabu na shughuli za kampuni au serikali, tungeita YANGA hii ni DHAIFU.

Leo YANGA wametolewa kombe la FA na pia Jumatano wanaondolewa kwenye usukani wa ligi kuu bara TPL.

Anyway kila mmoja atavuna alichopata kwani mpira ni uwanjani sio mdomoni
Mkuu utaitwa uhojiwe pale jangwani la sivyo ufute hilo neno DHAIFU
 
Hii match simba wamenunua,lipuli hawana uwezo Wa kuifunga Yanga....
 
Back
Top Bottom