Azam Federation Cup: Yanga yatupwa nje ya mashindano baada ya kutandikwa magoli 2-0 na Lipuli

Azam Federation Cup: Yanga yatupwa nje ya mashindano baada ya kutandikwa magoli 2-0 na Lipuli

There's is Always next time.. Ammy Ninje .. . Tukutane Serena hotel 18 /5 tujengeYanga mpya
 
Hii Mechi tumeonewa, haiwezekani refa avae butka nyeusi!

Ona hata hayo magoli waliyotufunga, yamekaa kisimba simba, halafu kwa nini waongeze dk 6 na sio 15? Huu ni uonezi wa bure!!

Tunakata rufaa FIFA!


......Alisikika mzee Akilimali akiwasimulia vyura wenzake pale kwa Mfuga Mbwa!!!


Ha ha haaaa!
 
Yule Dada anaye shangiliaga
Wozooorr
Mbona Simu oni
Anaitwaga sijui
Shunie Labda
 
Yanga jeuri sana
Sisi tunapigana kimataifa
Wao wanawashangilia wakongo
Na kuwapa sapoti
Wafungwe tu
 
#ASFC:Mpira umemalizika kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. ...@YangaSCTanzania wanatupwa nje ya mashindano, na Lipuli FC wanatinga fainali..

Kwa matokeo haya, Lipuli sasa watakutana na Azam FC kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi.

FT: Lipuli FC 2-0 Yanga SC.
IMG_20190506_173630.jpeg
 
#ASFC:Mpira umemalizika kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. ...@YangaSCTanzania wanatupwa nje ya mashindano, na Lipuli FC wanatinga fainali..

Kwa matokeo haya, Lipuli sasa watakutana na Azam FC kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi.

FT: Lipuli FC 2-0 Yanga SC.View attachment 1089751
Uchaguzi wa jana urudiwe; wameanza vibaya sana
 
Back
Top Bottom