Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
YesHapa ndipo walipofanyia uchaguzi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YesHapa ndipo walipofanyia uchaguzi mkuu?
Bado 8 za nyongeza mkuu[emoji23]Dk 86 matokeo ni kama mnavyosikia
Wanatoka shimon wanaenda kaburin hahahahaNa moto wenyewe ni balaaaaa!!!
Yanga huwa hawakubaliani na dakika za nyongeza. Bila ya shaka watatoka nje!Bado 8 za nyongeza mkuu[emoji23]
Lakini inaonesha huyu mwenyekiti msomi wa PHD Ana hela sana ataisaidia timu[emoji23]
Tatizo kipindi wanalalama hawakuwa na akiba ya maneno😝😝😝 Nonga anawatesa. DoohYanga wanabebwa wameongezewa dakika 6 zote hizo?
Hii nayo haijawahi kutokea mkuu. Zinaongezwa dakika Sita zote hizo? Kwa sababu gani hasa? Refa inabidi achunguzwe, inawezekana Yanga wametembeza muamala[emoji23]Tatizo kipindi wanalalama hawakuwa na akiba ya maneno[emoji13][emoji13][emoji13] Nonga anawatesa. Dooh