Azam Federation Cup: Yanga yatupwa nje ya mashindano baada ya kutandikwa magoli 2-0 na Lipuli

Ndugu zangu wana Simba Sc. tuungane kwa pamoja kuiombea Yanga angalau ipate hata goli moja tu.
Naomba kuwasilisha
 
Yanga msimu huu wanapoteza kila kitu kama itakavyokuwa kwa Liverpool
 
Makambo haonekani leo daaah! Poleni vyura
 
Dakika zikiongezwa Yanga watoke nje maana huwa wanalalamikia dakika zinazoongezwa kwenye mechi za Simba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…