Azam inasubiri nini kutimua kocha wake?

Azam inasubiri nini kutimua kocha wake?

Washafukuza makocha wengi sana!

Tatizo la Azam sio makocha

Tatizo la azam ni WACHEZAJI

Coz hawajitumi na sio wapiganaji kabisa

Wapo wapo tu siku ziende wapige hela za bakhresa
Kama wachezaji mwenye timu ndio kafanya usajili msimu huu akishirikiana na kocha.
 
Hivi kocha Mkuu wa Azam ni nani? Maana kabla ya match ya Yanga niliona kocha mzungu anahojiwa na ikaeleezwa ndio kocha Mkuu, ilipofika match uwanjani namuona huyo Dabo ndio kama kocha Mkuu.
Yule mzungu ni msaidizi tu mkuu ni Dabo
 
Na wachezaji wote ni waislamu??

Shida udini umewajaa,


CEO wa makampuni yote ya Azam ni muhindi (sio muislamu)

Wafanyakazi wasio waislamu wapo wengi mno, na katika uislamu hakuna shida kuwaajir au kuajiriwa na wasiokuwa waislamu

Bagamoyo sugar Kuna kanisa nje ya kiwanda (kumbuka ni hakuna makazi karibu na kiwanda kile ) hivyo limejengwa na wamilika na/kwa idhini ya waajiri (SsB)

Taasisi za Bakhresa ikiwemo Bagamoyo sugar zimeajiri wafanyakazi wengi walio wakristo na wahindi (mabaniani)


Ulienda makao makuu (Mzizima) Kuna Hadi SMOKE AREA, Sasa muislamu serious ataweka eneo la kuvuta sigara?

Hata ukiangalia Azam fc Kuna wakristo kibao


Shida kubwa udini umewajaa

Waislamu wakiajiriwa mtaongea, wasipoajiriwa mtaongea eti hawajasoma wanakazania kusoma madrasa tu
Wako insecure....
 
Hivi kocha Mkuu wa Azam ni nani? Maana kabla ya match ya Yanga niliona kocha mzungu anahojiwa na ikaeleezwa ndio kocha Mkuu, ilipofika match uwanjani namuona huyo Dabo ndio kama kocha Mkuu.

Dabo Hana vyeti ameajiliwa pale kwa sababu ya Ile tochi ya kuzimu.
(Sigda)
 
Tatizo la Azam ni dogo tu, kwanza kabla ya kulaumu tujiulize nini matamanio ya mwenye team yaani Yusuph Bakhresa kwa team yake, nini hasa malengo yake? je kushindana au kufanya matangazo ya Azam tu inatosha. Azam kama wako serious wanaweza kuwa wapinzani wakubwa tu nchi hii hata kama watapata upinzani mkubwa kwa team 2 hizi lakini wangekuwa kama Athletico Madrid huko Spain. Viongozi lazima wawajibike kwa haya mimi kama napewa team hii sio kama kocha kama kiongozi wa juu basi ningekuja na mfumo mpya kabisa.

Kwanza tunajuwa sisi Tz kuna Uyanga na Usimba kila sehemu, ningehakikisha karibia wachezaji wote wa team ni wageni lakini sio wageni tu ila wa viwango vikubwa, pili wangelipwa vizuri hata wale wazawa wa team kubwa na wageni wangetaka kulipwa kama Azam. Sababu kubwa kuleta wageni wa viwango sio wageni mradi wageni tu hapana wachezaji haswa wa level za juu, wageni watakuja kufanya kazi tu wala hawajui Yanga wa Simba. Sasa shida viongozi hapa pia kuna umuhimu kuweka watu wa maamuzi wanaojitolea 100% Azam tu au leta wageni pia ondoa hawa vibaraka wa team kubwa hizi. Kiujumla team haina malengo hujui wanataka nini, unakaza ukicheza na wakubwa halafu unakuja kufungwa na team ndogo.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tatizo la Azam ni dogo tu, kwanza kabla ya kulaumu tujiulize nini matamanio ya mwenye team yaani Yusuph Bakhresa kwa team yake, nini hasa malengo yake? je kushindana au kufanya matangazo ya Azam tu inatosha. Azam kama wako serious wanaweza kuwa wapinzani wakubwa tu nchi hii hata kama watapata upinzani mkubwa kwa team 2 hizi lakini wangekuwa kama Athletico Madrid huko Spain. Viongozi lazima wawajibike kwa haya mimi kama napewa team hii sio kama kocha kama kiongozi wa juu basi ningekuja na mfumo mpya kabisa.

Kwanza tunajuwa sisi Tz kuna Uyanga na Usimba kila sehemu, ningehakikisha karibia wachezaji wote wa team ni wageni lakini sio wageni tu ila wa viwango vikubwa, pili wangelipwa vizuri hata wale wazawa wa team kubwa na wageni wangetaka kulipwa kama Azam. Sababu kubwa kuleta wageni wa viwango sio wageni mradi wageni tu hapana wachezaji haswa wa level za juu, wageni watakuja kufanya kazi tu wala hawajui Yanga wa Simba. Sasa shida viongozi hapa pia kuna umuhimu kuweka watu wa maamuzi wanaojitolea 100% Azam tu au leta wageni pia ondoa hawa vibaraka wa team kubwa hizi. Kiujumla team haina malengo hujui wanataka nini, unakaza ukicheza na wakubwa halafu unakuja kufungwa na team ndogo.
Azam ni Spurs ya Tanzania
 
Azam ni Spurs ya Tanzania
Hapana Spurs zio club tajiri UK, ni club maarufu lakini sio kubwa kama wale top 5. Ningekuelewa kama spurs ni matajiri halafu wanaburuzwa tu. Azam kitanzania wanapesa sio pesa za kusubiri wadhamini ni zao, wana kiwanja kizuri, wana facilty za mazoezi nzuri na huduma muhimu mishahara mizuri na kwa wakati lakini nini kinawashinda? unazi wa usimba na uyanga japo ziko sababu zingine. wanafungwa na team ambazo hazina uhusiano na hizi team kubwa. Sababu ni kwamba hawako serious hakuna uwajibikaji na viongozi wajuu hawajali. Ndio maana nimesema Yusuph Bakhresa alitaka kuwawekea viongozi targets na uwajibikaji. Ila kama target zake ni kufanya matangazo tu basi tuwaache tu wameridhika wenyewe.
 
CEO anahijumu Azam.Ni kibaraka wa timu mojawapo ya Kariakoo na yupo pale kwa maslahi yake na timu anayoishabikia.Na yeye ndio anabeba mipango ya,maendeleo,kuajiri makocha,wachezaji na mikakati ya timu.
 
Azam kuna makundi matatu: Makocha, wachezaji, na uongozi wa timu.
Ni makocha tu ndio wamekuwa wakilaumiwa na kufukuzwa, ila wachezaji na uongozi wamekuwepo tu wala hakuna kuwajibika.

Sasa, Ili watoke hapo, wachezaji na uongozi wawajibike sasa, na kuanzia ni kufukuza uongozi wote wa timu na kuajiri professionals, halafu tufike kwa wachezaji.
 
CEO anahijumu Azam.Ni kibaraka wa timu mojawapo ya Kariakoo na yupo pale kwa maslahi yake na timu anayoishabikia.Na yeye ndio anabeba mipango ya,maendeleo,kuajiri makocha,wachezaji na mikakati ya timu.
Acha kumharibia Popat ugali wake. Jana nimemuona uwanjani akiwa na huzuni sana. Hata kama ni kibaraka wa timu kubwa kama unavyodai iweje aiuze timu yake kwa Namungo?
 
Back
Top Bottom