Anauza ili timu anayoishabikia iweze kuwa na gepu kubwa zaidi na hana uchungu na Azam.Ni mapenzi yamezidi uweledi.Hata msimu uliopita Azam alifungwa na Namungo goli 2 kwa 1.Inabidi awajibike.Azam wamejaribu kuwekeza na kufukuza makocha lakini viongozi wasaliti wakiongozwa na Popat wanaiangusha.Acha kumharibia Popat ugali wake. Jana nimemuona uwanjani akiwa na huzuni sana. Hata kama ni kibaraka wa timu kubwa kama unavyodai iweje aiuze timu yake kwa Namungo?
Kwa io ceo ndio anacheza mechi na kufungwa magoli ya kizembe?CEO anahijumu Azam.Ni kibaraka wa timu mojawapo ya Kariakoo na yupo pale kwa maslahi yake na timu anayoishabikia.Na yeye ndio anabeba mipango ya,maendeleo,kuajiri makocha,wachezaji na mikakati ya timu.
kocha hana kosa loloteHivi hawa wanataka kitokee nini ili watimue huyu kocha wao mbovu?
Zahera Mwinyi kishatimuliwa Coastal Union (wanadai kabadilishiwa majukumu), sasa hawa Azam shida yao iko wapi?
Timu yeyote inashinda sio kwa wachezaji wazuri bali na Uongozi mzuri na wa kuaminika.Kwa io ceo ndio anacheza mechi na kufungwa magoli ya kizembe?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kaka nakufuatilia na napenda unavyofafanua mambo kiweledi sanaWakristo haswa wa Jf wengi wenu akili finyu mno mmejaa udini na chuki.
Strewart Hall alikuwa Muislamu ?
Omog alikuwa Muislamu ?
Wachezaji waote ni Waislamu ?
Hitimisha : Nyinyi vichwa maji mmemezeshwa chuki zisizo na msingi.
Muulize, Hans Van Pluijm na Stewart Hall nao walikuwa waislam ?
Pluijm, sterwat na Omog nao waislam?Kama inakuja vile maana hivi karibuni aliletwa yule msomali baada ya hapo akaletwa huyu Dabo,ukiwaangalia nasaba zao ni hizo hizo usemazo.
Nimewafananisha ki mentality, yani wana small team mentallityHapana Spurs zio club tajiri UK, ni club maarufu lakini sio kubwa kama wale top 5. Ningekuelewa kama spurs ni matajiri halafu wanaburuzwa tu. Azam kitanzania wanapesa sio pesa za kusubiri wadhamini ni zao, wana kiwanja kizuri, wana facilty za mazoezi nzuri na huduma muhimu mishahara mizuri na kwa wakati lakini nini kinawashinda? unazi wa usimba na uyanga japo ziko sababu zingine. wanafungwa na team ambazo hazina uhusiano na hizi team kubwa. Sababu ni kwamba hawako serious hakuna uwajibikaji na viongozi wajuu hawajali. Ndio maana nimesema Yusuph Bakhresa alitaka kuwawekea viongozi targets na uwajibikaji. Ila kama target zake ni kufanya matangazo tu basi tuwaache tu wameridhika wenyewe.