Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Ndo ukamuulize sasa kwamba mbona fedha za mauzo zimeenda yanga na kwake azionekani kwenye accountOoooh.... Kumbe. Sasa mbona hawakusema toka zamani? Daaah... Hawa watu hawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ukamuulize sasa kwamba mbona fedha za mauzo zimeenda yanga na kwake azionekani kwenye accountOoooh.... Kumbe. Sasa mbona hawakusema toka zamani? Daaah... Hawa watu hawa.
Mkamuachia kwa bei ya sahani ya ubwabwaAlafu baada ya kuongea kama alikuwa sahihi ni nini kilifata
Umepanik brazaMmiliki wa mayele ni mangungu ndiye ameingiziwa icho kiasi kwenye account yake, case closed!
Elewa vizuri hapo. Sio mkopo, ni umiliki tuHizi ni siasa za mpira wa bongo. Hakuna club itakayomtoa kwa mkopo Mchezaji kama mayele
Amshukuru Rais kumuokoa otherwise yeye pamoja na wapambe wake kama nyie msingemsaidia chochote kwa maana alikuwa mdomoni mwa mamba!Mkamuachia kwa bei ya sahani ya ubwabwa
Lakini Morrison mlimrudisha, au umesahau?Yanga sio genge la wahuni, mchezaji ukizingua unazinguliwa, pale akuna kulea uvundo wa aina yoyote, ndio maana akuna klabu Tanzania iliwai kufukuza timu nzima na ikaendelea kuuwasha moto kama vile akuna kilichotokea ni yanga tu,,,Ayo mambo ya kulea ujinga yapo simba ndio maana chama anawashika makalio anavyotaka na mnamkenulia tu, uyo angekuwa yanga angekuwa ashaisoma namba!
Siyo kwamba ni Yanga ingeenda kuadhirika tena huko CAS? We umeona wapi timu inayoendeshwa kwa weledi inamng'ang'ania mchezaji tena wa bei rahisi kisa kumkomoaAmshukuru Rais kumuokoa otherwise yeye pamoja na wapambe wake kama nyie msingemsaidia chochote kwa maana alikuwa mdomoni mwa mamba!
Kwahiyo wanaochezea Yanga ni majini?Kwa nini wachezaji hawataki kuchezea Yanga?
Ingeenda kuadhirika kwa kipi labda ebu tupe mrejesho wa mkataba wake ulkuwajeSiyo kwamba ni Yanga ingeenda kuadhirika tena huko CAS? We umeona wapi timu inayoendeshwa kwa weledi inamng'ang'ania mchezaji tena wa bei rahisi kisa kumkomoa
Kumbe na wewe ni half empty glass, Pyramids imefanya biashara na Yanga ndio inammiliki Mayele.Elewa vizuri hapo. Sio mkopo, ni umiliki tu
Mkuu usipoteze muda wako bure kuwaelezea vijana wa mangungu jambo linaloeleweka kwa kila mtu mwenye akili timamu, iyo ajenda ya kwamba mayele anamilikiwa na sijui nani wameiset wao wazee wa kuongeza sifuri, inaonekana kuna jambo linawasumbua vichwani mwao juu ya mauzo ya mayeleKumbe na wewe ni half empty glass, Pyramids imefanya biashara na Yanga ndio inammiliki Mayele.
Kwa sasa Mayele akienda Pyramids wamiliki ni Pyramids siyo Yanga Tena.
Agent siyo mmiliki wa mchezaji.
Hata mechi ya fainal kule algeria nilishangaa sana dickson job ndo alicheza namba sita huku bangala akiwa bench na hata sub hakuingia jamaa kiwango kilishuka labda akiwa azam apambane kipandeMpira biashara
Bangala hakuwa na msimu mzuru + nidhamu yake
Kocha Nabi alipendekeza aachwe
Kwakuwa azam wamejaa kwenye mfumo yanga amepiga hela safi
Hakuna mchezaji asiyeuzwa.
Huu ndo uweledi sio uhuni aliyofanya feitoto nadhani Bangala ametoa somo na ameheshimu mkataba akauvunja kwa utaratibu na sasa ameenda azam
Me kama shabiki wa yanga namtakia kila la heri huko azam
Hizo habari anazitoaga bin kazumari yule jamaa ana majungu kupita maelezoMkuu usipoteze muda wako bure kuwaelezea vijana wa mangungu jambo linaloeleweka kwa kila mtu mwenye akili timamu, iyo ajenda ya kwamba mayele anamilikiwa na sijui nani wameiset wao wazee wa kuongeza sifuri, inaonekana kuna jambo linawasumbua vichwani mwao juu ya mauzo ya mayele
Kwa sababu akili hawana wameshindwa kuchukuwa Yanick Bangala kiurahisi tu na walikuwa wanamwitaji.Mkuu usipoteze muda wako bure kuwaelezea vijana wa mangungu jambo linaloeleweka kwa kila mtu mwenye akili timamu, iyo ajenda ya kwamba mayele anamilikiwa na sijui nani wameiset wao wazee wa kuongeza sifuri, inaonekana kuna jambo linawasumbua vichwani mwao juu ya mauzo ya mayele
Kauli kama hizi ndiyo zinawaumbuaWangekuwa na Inonga na kiungo mkabaji Bangala angewasaidia sana hizi international games.
Ada ya Feisal uliiona wapiUhamisho wa Yannick Bangala uko mbioni kukamilika. Yanga imepokea ofa ya milioni 100 kutoka kwa Azam FC.
Yannick alibakisha mkataba wa mwaka mmoja na klabu yake ya Yanga SC.
Biashara
[emoji2389] Mayele 2.8B
[emoji2390] Feisal Salum 200m
[emoji2391] Yannick Bangala 100m
[emoji2392] Shaban Djuma 100m [emoji352]
View attachment 2702069
Bangala ndiyo alikuwa wa kwanza kuonyesha haitaki Yanga. Alilionyesha hilo uwanjani kwa mgomo baridi na akaja kulisema kwa mdomo wake. Mchezaji aliyekuwa MVP misimu miwili iliyopita unamuuzaje 100M?Kwahiyo wanaochezea Yanga ni majini?
Mbona huwa hamumuulizi Chama swali kama hili akianzaga kuwajambisha?
Yanga ni kubwa kuliko mtu yeyote yule, hata GSM siyo mkubwa mbele ya Yanga ndio sembuse mchezaji?mudathir na Sure boy wamekwenda Yanga wakitokea timu gani?
Hivi hili swali ni gumu kwako hadi ulifikishe kwenye jukwaa hili.Kwa nini wachezaji hawataki kuchezea Yanga?