Azam kuibomoa Yanga tena 99%. Bangala mali ya Azam FC

Azam kuibomoa Yanga tena 99%. Bangala mali ya Azam FC

Yanga sio genge la wahuni, mchezaji ukizingua unazinguliwa, pale akuna kulea uvundo wa aina yoyote, ndio maana akuna klabu Tanzania iliwai kufukuza timu nzima na ikaendelea kuuwasha moto kama vile akuna kilichotokea ni yanga tu,,,Ayo mambo ya kulea ujinga yapo simba ndio maana chama anawashika makalio anavyotaka na mnamkenulia tu, uyo angekuwa yanga angekuwa ashaisoma namba!
Yanga hamsajili wachezaji kwa mikataba, mnawasajili kwa majaribio (miezi sita, hadi mwaka) hasa wale ambao hawana timu ya kucheza kwa muda huo.

So, msijisifie ujinga wa kufukuza timu nzima..hakuna timu duniani inayoweza kuvunja mikataba ya wachezaji wake wote wenye usajili kamili kwa sababu za hovyo.

Hakuna.

Ndio maana yanga ina viongozi wa hovyo.

Mkija kujua kulinda mikataba ya wachezaji vizuri kama timu, hasa wachezaji qa nje ya nchi ndio mtajua kwanini simba amehangaika kwa chama
 
Yanga hamsajili wachezaji kwa mikataba, mnawasajili kwa majaribio (miezi sita, hadi mwaka) hasa wale ambao hawana timu ya kucheza kwa muda huo.

So, msijisifie ujinga wa kufukuza timu nzima..hakuna timu duniani inayoweza kuvunja mikataba ya wachezaji wake wote wenye usajili kamili kwa sababu za hovyo.

Hakuna.

Ndio maana yanga ina viongozi wa hovyo.

Mkija kujua kulinda mikataba ya wachezaji vizuri kama timu, hasa wachezaji qa nje ya nchi ndio mtajua kwanini simba amehangaika kwa chama
Viongozi wa ovyo wako kule kwa mhindi wa Bombay, Viongozi bora wanatwaa makombe na kujaza kwenye makabati, ebu tuambie ubora wa viongozi wako kwenye usajli ni upi? Ambao awalindi mikataba ya wachezaji kama unavyoropoka wametwaa kila aina ya kikombe na wengine wametwaa vikombe vya kahawa ivyo auna cha kuongea mbele ya wanaume bora ufiche ujinga wako
 
Back
Top Bottom