Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Wanaenda kumkarisha bench tu waarabu washenzi sanaTetesi zinasema jana alikuwa misri na tayari amefanyiwa vipimo na muda wowote atatambulishwa pyramid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaenda kumkarisha bench tu waarabu washenzi sanaTetesi zinasema jana alikuwa misri na tayari amefanyiwa vipimo na muda wowote atatambulishwa pyramid
Ni mfululizo wa matukio ya wachezaji kuikataa Yanga. Niambie na wewe hilo haujiulizi inakuwaje timu inayofanya vizuri na kuchukua mataji wachezaji wake tegemeo wanaikimbia na wengine wanakiri wako tayari waache mpira kuliko kuendelea kuwepo pale. Kunaniii?Hivi hili swali ni gumu kwako hadi ulifikishe kwenye jukwaa hili.
Hebu twambie waliobaki ni wacheza mdako kama wewe siyo?
Ungemuuliza wewe ambaye ndiye msemaji wake nachojua kwenye account ya Yanga hazijaingiq hizo 2 bill sababu Mayele alikuwa kwetu kwa mkopo. Ay wewe Hersi ndo anakuambia? 😁Ndo ukamuulize sasa kwamba mbona fedha za mauzo zimeenda yanga na kwake azionekani kwenye account
Kwani ni Nani anasikitika ndani ya Yanga kwa Bangala kwenda Azam?!?! Hiyo ni blessing kwa Yanga ...Siyo mambo yote yawekwe mitandaoni...Wenye hela zao wamejichukulia mchezaji, wengine zilikuwa kelele tu.
Ni kweli ndiyo maana imeshindwa kabisa kusajili!Mm ni YANGA ila viongozi wa yanga Ni MATAPELI na hela pale jangwani tumeishiwa
Wakina Diarra, Job, Mwamnyeto, Musonda ni wanariadha au?Kwa nini wachezaji hawataki kuchezea Yanga?
Kuhusu Yanga kumbembeleza Feisal ni nyie Simba ndio mmeshikilia hilo Yanga ilishaachana nae toka alipoaxha kuonekana kambini ila nyie vijipu uchungu ndio mnakomalia Yanga alikua anamng'ang'ania na wakati Yanga ilikua inasimamia utaratibu.Feisal je mbona kwa zaidi ya miezi 6 mlikuwa mnambembeleza arudi, mmekuja kumuachia baada ya kusutwa. Hizi mambo ya kuacha wachezaji ambao bado mnawahitaji bado mnajifunza, mikishakubaliana na hali ambayo hamuwezi kuibadilisha ndiyo mnakuja na maneno haya. Pia unaposema Yanga ilifukuza timu nzima, kumbuka hadi uongozi pia ulikuwa umegawanyika.
Ishu ya Chama hauijui nakushauri achana nayo.
Mkude na Bangala wanautofauti upi kwenye utovu wa nidhamu?Viongozi wa Yanga wana akili sana pia wajanja alafu wanajua kusoma tabia za wachezaji… Djuma na Bangala viwango vya viliaza kutilia shaka huku tabia zao ziliaza kushuka pia kujitoa kwa asilimia zote hazikuwepo… Sasa hakuna jinsi ni kuuza na kuleta vijana wenye njaa na mafanikio…
Mkude na Bangala wanautofauti upi kwenye utovu wa nidhamu?
Vijana wenye njaa na mafanikio ndo kina Mkude?[emoji23][emoji28]
Risiti tunazo zinaonyesha mkimuomba na kumuhimiza arudi KimbijiKuhusu Yanga kumbembeleza Feisal ni nyie Simba ndio mmeshikilia hilo Yanga ilishaachana nae toka alipoaxha kuonekana kambini ila nyie vijipu uchungu ndio mnakomalia Yanga alikua anamng'ang'ania na wakati Yanga ilikua inasimamia utaratibu.
Haya mambo hamuwezi kuyaelewa kwa sababu hamuwezi kusimamia utaratibu zaidi mtahitaji kulamba miguu ili mchezaji abaki
unajikamatia wawili wanarukaruka uwanjani na jioni unahesabu mshiko.Biashara ya utumwa inalipa.
Mayele ni kitu Kama 3.4 -3.6 bnUhamisho wa Yannick Bangala uko mbioni kukamilika. Yanga imepokea ofa ya milioni 100 kutoka kwa Azam FC.
Yannick alibakisha mkataba wa mwaka mmoja na klabu yake ya Yanga SC.
Biashara
1️⃣ Mayele 2.8B
2️⃣ Feisal Salum 200m
3️⃣ Yannick Bangala 100m
4️⃣ Shaban Djuma 100m ⏳
View attachment 2702069
Hako kajamaa akili hazimo kanalopoka tuHii nayo akili au matope? Umesikia wangapi hawataki kuchezea Yanga?
Vipi jean balekeHizi ni siasa za mpira wa bongo. Hakuna club itakayomtoa kwa mkopo Mchezaji kama mayele
Nachelea kusema wew nimbumbumbu kama alivyotwambia sir Aden RageYANGA MWENZANGU ACHA KUJAZWA UONGO NAWE UKATEMBEA NAO. HUU UJINGA UMEUTOA WAPI? TANGA WAMEINGIZIWA BIL 2? UNAZIFAHAMU WEWE? UNAMFAHAMU MMILIKI WA MAYELE?
Hivi nyie vijana wa Mangungu mbona hua mna vichwa vigumu? uliona wapi mchezaji akamilikiwa na mtu? leta hapa proof za kuonyesha Mayele alikua kwa mkopo YangaElewa vizuri hapo. Sio mkopo, ni umiliki tu
Tumeirithi kutoka kwamwarabu hakika inapesa nyingi mnoBiashara ya utumwa inalipa.