Tetesi: Azam kurudi mezani na Yanga, kumnunua Fei kwa pesa taslimu pamoja na Iddi Nado

Tetesi: Azam kurudi mezani na Yanga, kumnunua Fei kwa pesa taslimu pamoja na Iddi Nado

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Ndo inaishia hivyo.

Kutoka vyanzo vya ndani, licha ya Yanga kurejesha pesa na kudai mkataba uheshimiwe lakini imeonekana na wazi kuwa hali haitakuwa tena shwari kati ya Fei na Wananchi kwa sasa.

Azam baada ya kuchokonoa na kuharibu sasa hawana budi kuyamaliza kwa njia sahihi nayo ni kupeleka Ofa ambayo inalingana na "Release clause" halisi ya Mchezaji huyo.

Yanga nao ili wakubaliane na deal hilo na kuachana na mpango wake wa kutaka kumuuza Fei kwa klabu ya TP Mazembe ili kuikomoa Azam, nao wameamua kuweka kipengele cha kumchukua mchezaji mmoja toka Azam.

Ipo hivi:
  • Yanga wanapanga kuomba Fei akamilishe msimu na kusaidia kumaliza kombe la shirikisho la CAF.
  • Iddi Seleman Nado awe sehemu ya deal hilo.
  • Deal done kipindi hiki lakini utekelezaji ni msimu ukiisha ili kumpa mazingira rafiki ya Fei kuachana na wananchi na kuaga kwa heshima hasa kama watachukua kombe la Ligi.
  • Suala hili litaendana na upepo wa mechi ya kesho na mezani kukamilisha makubaliano haya ni J3.
 
Ndo inaishia hivyo.

Kutoka vyanzo vya ndani, licha ya Yanga kurejesha pesa na kudai mkataba uheshimiwe lakini imeonekana na wazi kuwa hali haitakuwa tena shwari kati ya Fei na Wananchi kwa sasa.

Azam baada ya kuchokonoa na kuharibu sasa hawana budi kuyamaliza kwa njia sahihi nayo ni kupeleka Ofa ambayo inalingana na "Release clause" halisi ya Mchezaji huyo.

Yanga nao ili wakubaliane na deal hilo na kuachana na mpango wake wa kutaka kumuuza Fei kwa klabu ya TP Mazembe ili kuikomoa Azam, nao wameamua kuweka kipengele cha kumchukua mchezaji mmoja toka Azam.

Ipo hivi:
- Yanga wanapanga kuomba Fei akamilishe msimu na kusaidia kumaliza kombe la shirikisho la CAF.
-Iddi Seleman Nado awe sehemu ya deal hilo
- Deal done kipindi hiki lakini utekelezaji na msimu ukiisha ili kumpa mazingira rafiki ya Fei kuachana na wananchi na kuaga kwa heshima hasa kama watachukua kombe la Ligi.
-Suala hili litaendana na upepo wa mechi ya kesho na mezani kukamilisha makubaliano haya na J3
[emoji116]
20221224_201154.jpg
IMG_20221224_200226.jpg
 
Wastage of time and resources. No trust between Feisal and YangabS Club. Siku asipofunga goli utakuwa ni lawama.

Yanga wakubali tu yaishe
 
Imenibidi ni tafute Sheria za FIFA za mchezaji kuvunja mkataba nimezisoma na bado sijaona kipengele alichotumia Fei toto kudeposit Hela na kuandika barua kua ni kitendo halali
 

Attachments

  • Screenshot_20221224-193352.png
    Screenshot_20221224-193352.png
    43.8 KB · Views: 6
Ndo inaishia hivyo.

Kutoka vyanzo vya ndani, licha ya Yanga kurejesha pesa na kudai mkataba uheshimiwe lakini imeonekana na wazi kuwa hali haitakuwa tena shwari kati ya Fei na Wananchi kwa sasa.

Azam baada ya kuchokonoa na kuharibu sasa hawana budi kuyamaliza kwa njia sahihi nayo ni kupeleka Ofa ambayo inalingana na "Release clause" halisi ya Mchezaji huyo.

Yanga nao ili wakubaliane na deal hilo na kuachana na mpango wake wa kutaka kumuuza Fei kwa klabu ya TP Mazembe ili kuikomoa Azam, nao wameamua kuweka kipengele cha kumchukua mchezaji mmoja toka Azam.

Ipo hivi:
- Yanga wanapanga kuomba Fei akamilishe msimu na kusaidia kumaliza kombe la shirikisho la CAF.
-Iddi Seleman Nado awe sehemu ya deal hilo
- Deal done kipindi hiki lakini utekelezaji ni msimu ukiisha ili kumpa mazingira rafiki ya Fei kuachana na wananchi na kuaga kwa heshima hasa kama watachukua kombe la Ligi.
-Suala hili litaendana na upepo wa mechi ya kesho na mezani kukamilisha makubaliano haya ni J3
Ameshaaga
IMG-20221224-WA0009.jpg
 
Wastage of time and resources. No trust between Feisal and YangabS Club. Siku asipofunga goli utakuwa ni lawama.

Yanga wakubali tu yaishe
ndio lakini nu lazima sheria za mikataba zifuatwe
 
Imenibidi ni tafute Sheria za FIFA za mchezaji kuvunja mkataba nimezisoma na bado sijaona kipengele alichotumia Fei toto kudeposit Hela na kuandika barua kua ni kitendo halali

Ukiachwa achika mkuu[emoji23]
 
Back
Top Bottom