Ni mpumbavu pekee anayedhani timu iliyojikusanyia point nyingi CAF eti inatoa bahasha.Ha ha ha unataka kusema bahasha za Simba hazina nguvu tena kama ilivyo awali?
Na haendi shirikishoNi mpumbavu pekee anayedhani timu iliyojikusanyia point nyingi CAF eti inatoa bahasha.
Kunyume chake timu iliyochukua ubingwa mara nyingi na haina pointi nyingi CAF huo ubingwa lazima uwe ni wa mashaka
Ni mpumbavu pekee anayedhani timu iliyojikusanyia point nyingi CAF eti inatoa bahasha.
Kunyume chake timu iliyochukua ubingwa mara nyingi na haina pointi nyingi CAF huo ubingwa lazima uwe ni wa mashaka
nimekiona mkuu, nimepaliwa hapa.Umeona kidhungu hicho?
Atatoa pongeziKatika iyo milioni 100 wewe utatoa shilingi ngapi?
kama mlikuwa hamjafungua macho unadhani lilikuwa jukumu la azam kuwafungua macho.Tunaenda mbele haturudi nyuma... Kabla ya hapo Azam alikua anaingiza kiasi gani kupitia sisi?
Ili yeye apate faida ngapi?ila 50 million ni ndogo, atleast 100 million
kwa ligi yetu azam is in control. akipoteza ligi tunamsahau. kapata hadi jeuri ya kuexpand to other countries. sema amna hype.Ili yeye apate faida ngapi?
kiufupi wanapata milioni 500 kwa msimu, ambapo ukigawa kwa miez 10 ya mashindano unapata hio 50m,Mimi nadhani ni nyingi sana zilikuwa timu 16 mara milioni 50 inakuwa milioni 800 kwa mwezi mara hiyo miezi ambayo timu zimecheza sijafuatilia ilikuwa ni miezi mingapi tusibeze sana wenzetu wanao jitolea japo na wao wanaingiza pesa kumbuka kuna gharama za uendeshaji pia
Imefanya MAKOLO wizard washike NAFASI ya 3 Msimu huu kwa HIO ni improvement kubwa sana kwenye SOKA letukabla ya hapo mllkuwa mnapewa ndapi ili tulinganishe na hii 50m ndogo?
Imesaidia sana Simba kufika NAFASI ya 3 na Azam kusimamia NAFASI ya 2 yaan Azam waongeze 20 iwe 70 nadhani Simba wataambulia NAFASI ya 5 au 7 HUKO maana ushindani utakua maradufukama mlikuwa hamjafungua macho unadhani lilikuwa jukumu la azam kuwafungua macho.
NBC n wadhamini wakuu ila wabahili knomaYajitokeze makampuni mengine nayo yaongezee hata milioni kumi kumi kwa timu zote; itasaidia sana.
Mh h nlkuwa siijuini milioni 50 kila mwezi kwa kila timu
pesa za kumaliza nafasi flan mwisho wa ligi ni tofauti, Yanga atapewa milioni 500 kuwa bingwa, Mtibwa wanaagwa na milioni 25, hii haihusiani na milioni 50 walizokuwa wanapokea kila mwezi kwenye msimu wa ligi
Kwa mahesabu hayo inamaana ni udhamini wa blilioni 8 kwa msimukiufupi wanapata milioni 500 kwa msimu, ambapo ukigawa kwa miez 10 ya mashindano unapata hio 50m,
kila baada ya miez 3 wanaingiziwa 150m,
sasa hv hakuna timu inalipiwa hotel, mwendo ni tukutane uwanjani. DadekImefanya MAKOLO wizard washike NAFASI ya 3 Msimu huu kwa HIO ni improvement kubwa sana kwenye SOKA letu
Ndio nimesema waongeze 20 ili Simba iangukie NAFASI ya 7/8 HUKO sababu ya ushindani mkalisasa hv hakuna timu inalipiwa hotel, mwendo ni tukutane uwanjani. Dadek