Azam Marine mambo shingoni. Zanzibar one na two mambo byeeee

Mbona huwa tunaambiwa Juice yake ni fake na sio Embe halisi?
Wala hakuna dili na wahuni, Co. Inajua kila kitu na imebariki jambo hilo(inafaidika nao).

Hata kule kwny kiwanda chao cha juice ukipeleka maembe yako kwny roli na humjui dalali yataozea hapo nje ya geti ukiyaona hivi hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja...kuingiza gari la maembe pale kiwandani kama hauna dalali ni sawa na kuona pepo. Huyu mzee Bakharesa ni muumini safi sana je uonevu huu na dhuluma hii haioni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana wanasema tajiri kuingia kwny ufalme wa Mungu ni ngumu kama Ngamia kupita kwny tundu la Sindano.

Jamaa anajua kila kitu mkuu,ila ndo hivyo tena wanafaidika na uhuni huo mkuu.
 
Shukrani, jamaa ni wazoefu.
Sea star namkumbuka alikuwa na boti zake sea star 1 na sea sea star 2 zilikuwa ziko vizuri hydrofoil (kama ilivyokuwa sea express)

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Mkuu kuna faida zipi za propeller kwa wasafiri ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
unapo zungumzia azam marine na hiyo zanzibar one tupe tofauti kwa muonekano azam marine ni kubwa sana au zinafanana hizo kitu tuambie tofauti ya abiria mizigo nk.
 
Economy Class

Business Class

VIP Class


Royal Class
 

Attachments

  • 054-upper-aft-deck21.jpg
    32 KB · Views: 2
  • UVgNTgKA.jpeg
    195.5 KB · Views: 2
  • Vip-seat.jpg
    66.2 KB · Views: 2
  • MC2qCtkQ-2.jpeg
    198 KB · Views: 2
huu ushandani ulikuwepo ata miaka hiyo dar to arusha SHABAHA alikuja na moto akakimbia kawaacha wakongwe kaja MAPANDE kasepa kaja BUFFALO kapotea Akaja chizi CHAKITO CHATER LONG WAY kimya wazee wapo kwa hiyo usishindane na mfanya biashara wa muda mrefu utapoteza pesa kwakutaka sifa
 
Naskia kuna ambayo bei yake 20000 mpaka sasa hivi ?

Sent using Jamii Forums mobile app


Suali lako nakujbu leo bei ni hiyo hiyo 25 kwa economy na Economy premium ni kilimanjaro seven safar inaanza saa sita na nusu labda sealink ndo elf20 ambayo bei yake ndio hiyo hiyo toka mwnzo na leo naona mambo yamebdlika juzi nilpopanda haikua hivi leo kuna kuvalishwa mask kwa kila abiria anaeingia bandarin na mwisho kabsa Kuna dawa ile ya kupiliza kwa wote mnapopita mnainua mikono juu kama ile waloitangaza kenya [emoji1139] hivi juzi kati kwenye sehem za kupita watu wengi kama ferry


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwenye hizo seastar ndio huyo huyo anayemiliki zanzibar one sasa iv
 
Kutaka ushindani wa Biashara na Azam ni kujitafutia kufa kwa biashara yako..

Azam sasahivi kwisha habari yake. Huyu muhindi amekuja kummliza.
Boat zikichoka anazipeleka comoro
Nyingine anezipeleka pemba na tanga
Sasa anampelekesha Azam
 
Umezungumzia kasi na parking,umeacha huduma mbovu za madalali wahuni kwa kuuza tiketi kwa bei chafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…