Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Mbona huwa tunaambiwa Juice yake ni fake na sio Embe halisi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hakuna dili na wahuni, Co. Inajua kila kitu na imebariki jambo hilo(inafaidika nao).
Hata kule kwny kiwanda chao cha juice ukipeleka maembe yako kwny roli na humjui dalali yataozea hapo nje ya geti ukiyaona hivi hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app