PEKU LA UNGO
Member
- Feb 17, 2020
- 66
- 48
Umezungumzia kasi na parking,umeacha huduma mbovu za madalali wahuni kwa kuuza tiketi kwa bei chafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikata ticket kwa pupa na bila kufata sheria lazma utapgwa tu kihivyo mm ni msafiri mzoefu wa Azam na cjawah kunnua ticket ya udalali wala kukosa ticket nabook ticket yngu nikifka nalipa nakatiwa au namuagza mtu bandarin anikatie ananitumia nafka naprint ama najiandaa kwa ticket ya bei yyte bandarin nikiikuta ofcn nachkua kwann unnue ticket ya udalali wakat hata itokee ajali jina lako halitajulikana kua ulikuepo kwenye boti kero za ticket zilkuepo kua na shida ila za udalali ni kujitakia
Sent using Jamii Forums mobile app