Azam Media hakuna maslahi makubwa hadi watangazaji wake mahiri kutimka?

Azam Media hakuna maslahi makubwa hadi watangazaji wake mahiri kutimka?

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,845
Reaction score
13,072
Nimekuwa nikishangazwa sana na jambo hili kwamba kampuni kubwa nchini kwa masuala ya media ndio kwanza wafanyakazi wake mahiri wanatimka kila kukicha kwenda kufanya kazi kwenye taasisi zingine Tena wababaishaji wengine.

Mfano mzuri ni huyu Afisa Habari wa Simba sports club Ahmed Ally alikuwa mtangazaji mzuri Sana leo hii katimkia Simba sc kuwa afisa wa habari Kuja kupigana kelele na kina Manara na Bumbuli.

Ally Kamwe naye nimesikia kuwa ndio amekuwa Afisa wa Habari wa Yanga Sports Club .unaacha Kazi nzuri kampuni kubwa nchini halafu unaenda kupiga kelel na kina Manara mbona siyo sawa hili.

Kuna yule wa Wasafi FM Ahmedi Abdlah nae alikuwa Azam Sports lakini sasa yupo Wasafi Tena kanawiri mno [emoji23] je ndio tusema hizi kampuni kubwa hamna kitu ni jina tu maslahi kiduchuu huku wanatengeneza faida kubwa supper nomal profit.

Nakuomba bwana le popoma mwandamizi GENTAMYCIME kwa ufafanuz zaidi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ooh sawa inamaana kwamba Azam wanalipa Chini ya au ndio hz laki tano tano nn mnk nilidhani labda kijna Kama ahemd Ally alikuwa anabeba 2 m kwa mwezi hapo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mishahara ya media kubwa km itv,tbc na hao azam ni ya kawaida tu tofauti na media km wasafi na clouds ambao Ni media za burudani..Hizi media kubwa haziangalii mtu ili kujiendesha maana Zina mizizi mikubwa sn tofauti na media km wasafi na clouds au e media ambao mtangazaji anahama Kama mchezaji na anapandiwa dau ili tu aifanye redio kuwa maarufu

Mfano diva the bawse kaletwa wasafi kwa ada ya mil50 (za ndani) na analipwa mshahara mkubwa tu..Pia lil ommy katoka times fm kaja wasafi kang'olewa kwa dau kubwa na mshahara mkubwa..ambangile ndy Yule kapewa Hadi crown ya kutembelea pale wasafi fm,wakati enzi yupo magic fm na channel ten media za CCM anachambua mpira hakupata hiyo gar..Nani atafanya hivyo tbc au Azam wakati unalipwa mshahara?

Sasa ndugu yangu goloka unaambiwa yanga unalipwa m7 per month (kwa mfano) utakubali kubaki Azam kwa mil 2? Alafu Kumbuka yanga au Simba zinakufanya kuwa maarufu Kama manara Kisha unapata madili ya mikataba na makampuni mbalimbali huko social medias Kama joti na manara kwa sababu ya fan base uliyonayo kwa nn asikubali kufanya kazi na yanga au Simba
 
Gharibu mzinga Ni rafiki yangu mkubwa na nimesoma nae..Mishahara ya media kubwa km itv,tbc na hao azam ni ya kawaida tu tofauti na media km wasafi na clouds ambao Ni media za burudani..Hizi media kubwa haziangalii mtu ili kujiendesha maana Zina mizizi mikubwa sn tofauti na media km wasafi na clouds au e media ambao mtangazaji anahama Kama mchezaji na anapandiwa dau ili tu aifanye redio kuwa maarufu

Mfano diva the bawse kaletwa wasafi kwa ada ya mil50 (za ndani) na analipwa mshahara mkubwa tu..Pia lil ommy katoka times fm kaja wasafi kang'olewa kwa dau kubwa na mshahara mkubwa..ambangile ndy Yule kapewa Hadi crown ya kutembelea pale wasafi fm,wakati enzi yupo magic fm na channel ten media za CCM anachambua mpira hakupata hiyo gar..Nani atafanya hivyo tbc au Azam wakati unalipwa mshahara?

Sasa ndugu yangu goloka unaambiwa yanga unalipwa m7 per month (kwa mfano) utakubali kubaki Azam kwa mil 2? Alafu Kumbuka yanga au Simba zinakufanya kuwa maarufu Kama manara Kisha unapata madili ya mikataba na makampuni mbalimbali huko social medias Kama joti na manara kwa sababu ya fan base uliyonayo kwa nn asikubali kufanya kazi na yanga au Simba
Nimekuelewa kias ila kwa diva hpn mkuu yule alitemwa CMG Kisha kakaha na mapodcast zake akaona hamlipi kbsa ikabidi akachutame kwa mondi ili apewe kipindi hvyo nae yey asinione kwamba lulu Sana sioni milioni hamsini kutumika kumpata yey ..yey ilifika maahali akachoka mbaya ndio akapata mchongo kwa mondi ila fresh

Hata mm nimeona Ni nzuri sna kuaama kwanza unapata safari na unakuwa na timu muda mwingii huku ukilipwa perdiem nzuri tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Gharibu mzinga Ni rafiki yangu mkubwa na nimesoma nae..Mishahara ya media kubwa km itv,tbc na hao azam ni ya kawaida tu tofauti na media km wasafi na clouds ambao Ni media za burudani..Hizi media kubwa haziangalii mtu ili kujiendesha maana Zina mizizi mikubwa sn tofauti na media km wasafi na clouds au e media ambao mtangazaji anahama Kama mchezaji na anapandiwa dau ili tu aifanye redio kuwa maarufu

Mfano diva the bawse kaletwa wasafi kwa ada ya mil50 (za ndani) na analipwa mshahara mkubwa tu..Pia lil ommy katoka times fm kaja wasafi kang'olewa kwa dau kubwa na mshahara mkubwa..ambangile ndy Yule kapewa Hadi crown ya kutembelea pale wasafi fm,wakati enzi yupo magic fm na channel ten media za CCM anachambua mpira hakupata hiyo gar..Nani atafanya hivyo tbc au Azam wakati unalipwa mshahara?

Sasa ndugu yangu goloka unaambiwa yanga unalipwa m7 per month (kwa mfano) utakubali kubaki Azam kwa mil 2? Alafu Kumbuka yanga au Simba zinakufanya kuwa maarufu Kama manara Kisha unapata madili ya mikataba na makampuni mbalimbali huko social medias Kama joti na manara kwa sababu ya fan base uliyonayo kwa nn asikubali kufanya kazi na yanga au Simba
Sas mkuu kumtaja gharibu msinga siunaweza kumletea matatizo na maboss wake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama Manara alipewa ofa ya mshahara wa Milioni 4 pale na Simba ina maana klabu huenda zikawa zinalipa mshahara mkubwa.

Je media hizi kuna mtangazaji anafikisha mshahara angalau wa Milioni 3 kwa mwezi?
 
Acha chai hakuna media ya kutoa milion 50 kuleta mtangazaji mmoja utakuwa unaota
Gharibu mzinga Ni rafiki yangu mkubwa na nimesoma nae..Mishahara ya media kubwa km itv,tbc na hao azam ni ya kawaida tu tofauti na media km wasafi na clouds ambao Ni media za burudani..Hizi media kubwa haziangalii mtu ili kujiendesha maana Zina mizizi mikubwa sn tofauti na media km wasafi na clouds au e media ambao mtangazaji anahama Kama mchezaji na anapandiwa dau ili tu aifanye redio kuwa maarufu

Mfano diva the bawse kaletwa wasafi kwa ada ya mil50 (za ndani) na analipwa mshahara mkubwa tu..Pia lil ommy katoka times fm kaja wasafi kang'olewa kwa dau kubwa na mshahara mkubwa..ambangile ndy Yule kapewa Hadi crown ya kutembelea pale wasafi fm,wakati enzi yupo magic fm na channel ten media za CCM anachambua mpira hakupata hiyo gar..Nani atafanya hivyo tbc au Azam wakati unalipwa mshahara?

Sasa ndugu yangu goloka unaambiwa yanga unalipwa m7 per month (kwa mfano) utakubali kubaki Azam kwa mil 2? Alafu Kumbuka yanga au Simba zinakufanya kuwa maarufu Kama manara Kisha unapata madili ya mikataba na makampuni mbalimbali huko social medias Kama joti na manara kwa sababu ya fan base uliyonayo kwa nn asikubali kufanya kazi na yanga au Simba
 
Back
Top Bottom