Azam Media hakuna maslahi makubwa hadi watangazaji wake mahiri kutimka?

Azam Media hakuna maslahi makubwa hadi watangazaji wake mahiri kutimka?

Ila mkuu tukubaliane tu kuwa diva hajanunuliwa kwa dau Hilo yule bint alikah bila Kaz sna ndipo akaja kuchutama kwa mondi kumbuka alikuwa hazihifi nae kbsa kipindi akiwa cmg .kwahhyo yey Kama yey hajanunuliwa Bali alitafuta mchongo Kisha akapata

Jpo kwa kina maulid nakubaliana na wee kuwa yey anataufutwa tu kupandisha radio ila siyo ingawa pia Hana maajabu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tulifunge hili..

Watoto wa kiume kumwongelea mwanamke sijui analipwa bla bla haimake sense
 
Nimekuwa nikishangazwa sana na jambo hili kwamb kampuni kubwa nchini kwa maswala ya media ndio kwanza wafanyakazi wake mahiri wanatimka kila kukicha kwenda kufanya Kaz kwenye taasis zingine Tena wababaishaji wengine.

Mfano mzuri ni huyu afisa habari wa Simba sports club Ahmed Ally alikuwa mtangazaji mzuri Sana leo hii katimkia Simba sc kuwa afisa wa habari Kuja kupigana kelele na kina manara na bumbuli.

Ally kamwe nae nimesikia kuwa ndio amekuwa afsa wa habari wa yanga Sports Club .unaacha Kazi nzuri kampuni kubwa nchini halafu unaenda kupiga kelel na kina manara mbona siyo sawa hili.

Kuna yule wa Wasafi FM Ahmedi Abdlah nae alikuwa Azam Sports lkn sas yupo wasafi Tena kanawiri mno [emoji23] je ndio tusema hiz kampuni kubwa hamna kitu ni jina tu maslahi kiduchuu huku wanatengeneza faida kubwa supper nomal profit.

Nakuomba bwana le popoma mwandamizi GENTAMYCIME kwa ufafanuz zaidi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Verse ya mwisho imenifanya nicheke kama fisi maji
 
Sio kwamba hawalipi vizuri bali mtu mwenyewe ana malengo yake binafsi na tayari ameshapata thamani inayomfanya alipwe zaidi ya pale hivyo anaamua kwenda sehemu nyingine ambayo kimsingi imeshaona ubora wa kazi yake na kwa kuwa ana kazi tayari anakuwa na nafasi nzuri ya ku-negotiate mshahara. Siku zote ukiwa sehemu moja mshahara wako utakuwa pale pale tofauti na nyongeza za kila mwaka au miezi 6 kwa kuwa ndio thamani yako kwa kipindi hicho hivyo huyo bwana akitaka kurudi tena AZAM watapanda dau zaidi ya lile la anakokwenda.

Hata huku uswahilini ukikaa sehemu moja muda mrefu unajikuta una ongezeko dogo la mshahara tofauti na wale mabingwa wa kuhamahama kwa kuwa anaomba sehemu nyingine huku akiwa na kazi hivyo kwenye mshahara unakuta anapata zaidi ya mshahara wa awali
 
Sas huko s kimataifa mkuu cnn na aljazira iko waz Ni sehemu nyeti mno

Namkumbuka mtangazaji mmoja anaitwa vyone ndege siju Bado Yuko aljazira

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa ndio ujue kaz ni mapito Tu.

Ndio maana unaona watu wanahama kutoka team A Kwenda timu B.

Ni Jambo la kawada!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Tena kama siku hizi watangazaji wa media kubwa zenye vipindi vya michezo wanapiga deiwaka kwenye tv ya mtandaoni inaitwa valor tv. Sasa hata mikataba yao sijui ni ya namna gani!
 
Inamaana Azam wanalipa mshara chini ya milioni 2 mfno kwa Ally kamwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata wakilipa million 2 na alikoenda analipwa million 2 na marupurupu kibao kipi bora? Pia wengine hawana visimbusi vya Azam hivyo hao watangazaji hawatajulikana kivile ila wakiwa kwenye vilabu watajulikana chap
 
Hata wakilipa million 2 na alikoenda analipwa million 2 na marupurupu kibao kipi bora? Pia wengine hawana visimbusi vya Azam hivyo hao watangazaji hawatajulikana kivile ila wakiwa kwenye vilabu watajulikana chap
Kweli wee Ni mtot haswa haya mtot mzuri kaoge ulale

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna taasisi zimechoka ila zina mishahara mizuri, na kuna zingine zina majengo mazuri na usafiri, ila mishahara ni midogo.

Kuhama kwa hao uliowataja, itakuwa wamefuata maslai pamoja na fursa zilizojificha ambazo mimi na wewe hatuzioni kwenye hizo nafasi wanazoenda kwa sasa.
 
Hakuna media ya Tanzania ya kutoa milion 50 kwa ajili ya kumsaini mtangazaji huyo rafiki yako anakujaza upepo
Acha milion hamsini hata milion kumi tu mtihani

Unatoa mfano ambao sio hai kufanya show na kusaini mtangazaji

Acha uwongo wa bei rahisi
Km chai acha usiinywe..

Na Kama kwako mil 50 Ni nyingi,Nikukumbushe tu; sekta ya burudani ndy sekta inayolipa na inayoingiza pesa mingi zaidi kwa Sasa hapa bongo..

Nikukumbushe pia;mwaka ambao msanii Darassa CMG anatoa nyimbo "maisha na muziki" ndy mwaka ambao alilipwa he'll nyingi Sana kwenye kila show ya fiesta na clouds media na ndy msanii aliyepiga show mikoa yote Hadi fiesta inaisha..so unaweza kuvuta picha aliingiza pesa kiasi gani kwa ajili ya show moja tu fiesta ule mwaka

Point yangu Ni kwamba kwa media Kama clouds na wasafi hiyo mil 50 si kitu maana wao wanafanya usajiri wa watangazaji pia kuvutia brands zao zishishuke..Au umesahau kitenge anavyopandiwa dau na media mbalimbali kwenda kuzibrand na Kisha anasepa?
 
Back
Top Bottom