Azam Media hakuna maslahi makubwa hadi watangazaji wake mahiri kutimka?

Azam Media hakuna maslahi makubwa hadi watangazaji wake mahiri kutimka?

Ni bora unanyamaze tu km hujui mkuu sio kulaumu
Tunyamaze vipi tena mkuu? Mjadala umeletwa hapa watu wanaudiscuss.

Wewe unasema gharama za kuendesha media house ndiyo zinafanya mishahara ya waandishi iwe midogo.

Tufafanulie uendeshaji wa hizi media house ili lawama zisiende kwa hizi media
 
Yanga au Simba ulipwe mil 7?? Umesahau mshahara wa manara ulivuja ni laki 7??

Kama manara alikuwa akilipwa laki 7, huyo Ahmed ally unategemea nn? Si ndio siku kadhaa nyuma mke wake alitaka kusepa kisa jamaa hana kitu apeche aloloo?
Ishu ya manara haipo Kama unavyoandika..

Manara aliambia apewe mkataba wa ajira tsh mil 4 na hizo posho za laki 9 kwa masharti asifanye kazi na Azam kwa sababu ya mgongano wa kimaslahi na waajiri wake(kwenye social media zake)..yeye akaangalia masslahi zaidi jwa kucompare mil 4 na mil 9(kwa mujibu wa vyanzo bisivyo rasmi) ambazo analipwa kwa kufanya matangazo na hao aliokatazwa asifanye nao

Kwa kukataa kusaini mkataba pale Simba hawakumlazimisha,alikubali kulipwa posho ya laki 9 per month..Now umeelewa
Yanga au Simba ulipwe mil 7?? Umesahau mshahara wa manara ulivuja ni laki 7??

Kama manara alikuwa akilipwa laki 7, huyo Ahmed ally unategemea nn? Si ndio siku kadhaa nyuma mke wake alitaka kusepa kisa jamaa hana kitu apeche aloloo?
 
Ni sahihi mkubwa ila inashangaza san kampuni inatoa bilion 250 Kweli kuzamini mpira bado wafanyakaz wake wakose furaha hatari sna hili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ninyi ni aina ya watu mnaofikiri anayefanya kaz benki atakuwa na hela nyingi, anayefanya Kazi kwenye kampuni ya Toyota VX 8, Lazma aendeshe V8. Acha KUwa na mawazo mgando, kwenye hizo kampuni kuna hadi wafagia taka n.k na kila mmoja anavyolipwa kulingana na makibaliano Yao.
 
Yanga au Simba ulipwe mil 7?? Umesahau mshahara wa manara ulivuja ni laki 7??

Kama manara alikuwa akilipwa laki 7, huyo Ahmed ally unategemea nn? Si ndio siku kadhaa nyuma mke wake alitaka kusepa kisa jamaa hana kitu apeche aloloo?
sahih kbsa eti wanasema million nne anasain pale moo akulipe million 4 kwa Kaz ipi kubrand simba ambayo taayari Ina jina kubwa sanaa analiipwa 1.2 au less than that hkn sehemu muhiind alipe kias hcho

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jipu ni jepesi hapa mbona... unamzungumzia mtangazaji wa wa kiwango gani?

Je unaweza kuhamsha mtangazi mwandamizi kutoka Azm Media kama Baruani Mhuza, Ivvona Kamuntu n.k

Au watangazaji wanaochipukia ambao bado wana muda wa kuonyesha umahiri wao?

Vipi waliohama media zingine kama Sahara Media na IPP kutimkia Azam?


Nadhani wakati mwingine tulete Bango critical jamani.... Halafu kutoka mtangazaji wa kawaida kuwa msemaji wa Timu ni kupanda na sii kushuka......
Dad sijaongelea media kwa media nimeongelea media kwenda kuwa afsa habr Niko specific Sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ninyi ni aina ya watu mnaofikiri anayefanya kaz benki atakuwa na hela nyingi, anayefanya Kazi kwenye kampuni ya Toyota VX 8, Lazma aendeshe V8. Acha KUwa na mawazo mgando, kwenye hizo kampuni kuna hadi wafagia taka n.k na kila mmoja anavyolipwa kulingana na makibaliano Yao.
Hpn Kuna unyonjwaji wa juu Sana nin mtu Yuko Toyota anlipwa milioni 10++

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tunyamaze vipi tena mkuu? Mjadala umeletwa hapa watu wanaudiscuss.

Wewe unasema gharama za kuendesha media house ndiyo zinafanya mishahara ya waandishi iwe midogo.

Tufafanulie uendeshaji wa hizi media house ili lawama zisiende kwa hizi media
Safi San mzee swali zuri ajieleze vzr siyo kuzusha mamb hapa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom